Majirani wamemripoti jamaa kituo cha polisi kisa kazi yake haijulikani! Sasa anadai Milioni 500 kwa kuletewa usumbufu

Ila wabongo na somebodyelse life πŸ™ŒπŸ½πŸ˜β€¦ Sasa hapo wanaridhika wenyewe baada ya kujua issues zako

Mimi askari wakinihoji nawaambia mimi nauza ushauri wa mahusiano kwa waliokutwa na majanga kwa njia ya mtandao.
 
Na ndio maana kuna Mabalozi wa mitaa, walitakiwa walifikishe kwa balozi kisha baloz ndo alifuatilie kwa hekima likimshinda ndio alipeleke polisi.
Kutoa taarifa unaweza kutoa taarifa wakati wowote mahali popote ukiona kuna viashiria vya uhalifu... haijalishi kama una uhakika au hapana..., kazi ya upelelezi sio yako ni ya polisi na sio kila taarifa lazima waifuate bali wataichunguza, pia wanashauri sana raia kutoa taarifa pindi wakiona mambo ndivyo sivyo...
 
Kama wameenda kumshitaki kama mwizi, hilo ni kosa sasa.
 
Basi usikute hao waliokwenda kumshitaki mahakamani ni kina Juma kisa tu kwa sababu wao hawana kazi.
 
Ngoja nkuache , we endelea kutimzama jamaa kama mwehu kwa kuwashitak hao majiran kwa udhalilishaj

Tusema jamaa tumweka kwenye lile kundila wehu wafungua kesi zisizo na kichwa wala miguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…