Majirani wamemripoti jamaa kituo cha polisi kisa kazi yake haijulikani! Sasa anadai Milioni 500 kwa kuletewa usumbufu

Hapo mi kama jirani nawakataa polisi mchana kweupe kabisa labda niwe nimesaini maelezo kwa dole gumba ila bila hivyo nawakataa kweupe
Walikua polisi kituoni kabisa. Polisi waliwataja jamaa akiwa ndani
 
Anaowashitaki wanauwezo wa kulipa afu tatu😅
 
Sawa ngoja tuone
 
Kuishi uswahili ni kazi kama kazi nyingine.yan kabisa jamaa wameungana na kwenda kureport kisa hawa muelewi mshkaji.?

Hao jamaa wanatakiwa kuhangaishwa hivyo hivyo mahakamani mpaka akili ziwakae sawa.
Kweli aisee
 
yangu ni haya hili ni tangazo na lengo la tangazo kubet i
 
Hawezi kushinda hiyo kesi, ni jukumu la mwananchi kutoa taarifa polisi kwa mtu asiyemuelewa, raia hawajamfungulia mashitaka bali wametoa taarifa polisi, wafanye kazi yao.
Wewe hujui walisema nini kule polisi. Kwa ninavyojua, ukienda kutoka taarifa za kumshuku mtu, asingekuja kukamatwa km mwizi. Kuna wengine wanaenda mbali na kusema ni mwizi sababu tukiacha vijiko havionekani n.k. Hiyo tayari inaweza kufanya polisi wakukamate. Hata km ni Mimi, Tangu nizaliwe sijawahi kwenda police, alafu Kwa sababu tu za wivu unanipeleka kule, aisee....
 
Duuh hatari sana
 
Anashinda mchana kweupee(Defamation).
 
Jamaa yuko serious Kwako na kwa Wenzako mliofanyia hilo, hivyo nakuomba anza sasa Kuuza viti vyako ili umlipe Fidia.
 
Sio wewe kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…