Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Iliandikwa Tajiri ataongezewa na masikini atanyang'anywaNaomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aa wewe boss apange!Hata nyumba hana,kapanga.Sijui pesa zake alikuwa anatumia kuhonga !.
Wabongo bhanaAlionyesha video akitembelea kituo kipo iringa.. Na kwa bahati mbaya mimi ijaona hata mtoto pale kituon kwenye video.
Labda walikua wameenda shule
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa hawana chuki na mgonjwa au ruge Bali hawa jamaa wana hoja msingi sana kuwa kwanini mtu unajiita tajir afu ukiumwa unarud kwetu sisi Masikin walala hoi kuja kutembeza bakuli?Uchawi siyo mpaka upige manyanga, Chuki mlizonazo ni uchawi tosha.
Basi tufanye hajatumia hata senti yake, umeridhika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaombewa, hakuna pahala pana kauli yake ya kuomba hiyo michango.Kaomba mchango kwa wananchi wa JMT---, Mimi nipo katika kundi hilo pia ... Au mimi mburundi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni hear say my dear... Lini alikwambia hizo ni mali Zake?? Lini? Una ushahidi?? Mbona Jaydee tuliambiwa Efm ni yake na sio ya Majizzo??? Kuna tofauti kuwa na ubia na kuwa mmiliki! Truth be told, huyu Ruge hajawahi jisifia kuwa na mali, hajawahi. Na kuitwa boss kulitokana na wale alowasaidia kuona anastahili kuitwa boss. Ni kama we unavomuita muajiri wako boss.ruge ana mali kibao.. na baba yake ni proffessa.. kwao wana pesa na yeye ana mali kibao.. nashangaa why watu wanachangishwa.. ile escape one beach ni ya ruge , ile tatu mzuka inayotoa mazawadi kila wiki mahela ni ya ruge.. ile THT wasanii ni ya ruge..
Gari anazotembelea ruge sio used za kijapan.. ufupi maisha yake ni ya kitajiri.. nashangaa why asiuze asset zake?
Mali za wanaumeUnataka yahusike kusaidia matibabu au unataka kujua mali za mwanaume zilipo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmm!! Ulimjuaje kama ndie mkuu?Hahaa zamaradi unashida sana ... naona upo kwenye depression na Trauma nzito sana Angalia tu usije ukajinyonga hahaa .... kwahiyo unadhani sisi wote tuna tegemea michango ili tuweze kupata life health support kama ilivyo kwa baba watoto wako !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupi uyo mkuu? Maana leo nimeamua kuchapukia uku nisikie udambwi udambwi wa hapa na pale maana kule kwenye siasa changamoto nyingi hahah
Aaah no nampenda bro wanguMuache apeleke ili uje utupe mrejesho vizuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ugua pole Ruge
Mimi kwenye ugonjwa no dhihaka kwa kweli. ZAMARADI yeye anamlelea yule fundi magari wake.
Na ndio maana yule mzee wa makalio MAKUBWA KAJITOA KUSEMA ANACHANGIA MATIBABU YA PASCAL CASSIAN kuonyesha na hela lakini sio kwa Ruge
maelezo mazuri.....Ugonjwa ni suala linaloweza kumtokea mtu yeyote regardless ni tajiri au maskini,
Watu wengi maskini humtegemea Mungu zaidi na hivyo ushiriki wao wa namna yoyote huwa ni maombi. . So usidhhaki kuwa matajiri wanakuwa na mbwembwe, sikatai wapo lakini kwa Ruge Mungu ni shahidi pamoja na mapungufu yake amesaidia wengi Ninayo imani kuwa maombi ya maskini yatamponya Ruge. Kumbuka kuwa pia ugumu wa utafutaji wa pesa kwa maskini inatafutwa kwa shida hivyo baraka za Pesa hizo huanzia hapo na hivyo ni Sala tosha kwa Ruge.
Tumwombee Mwenztu!!
TANESCO ndio ugonjwa gani mkuu?Duhh! Anatumia milioni tano kila kukicha kwa ajili ya matibabu. Tumuombee kwa Muumba ili avuke kipindi hiki kigumu katika maisha yake, manake hata Dimpoz alifanikiwa.
Ila huyu jamaa nina wasiwasi na ugonjwa wake, kama sio TANESCO basi atakuwa amepewa sumu