witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
NahisiKama ni hivyo, hii ni hatari. Isije ikawa watu wanachangamkia fursa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NahisiKama ni hivyo, hii ni hatari. Isije ikawa watu wanachangamkia fursa
Ndicho kinachonistaajabisha?Mhh...nadhani ni zaidi ya figo maana matibabu ya figo yazidi milioni 600?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaaa muoaji basi,[emoji848][emoji44]...watu na masharti yao dyadya, ney, Domo, jizzoHalafu ndoa ndo kimyaaa kirefu,zile tetesi za kipigo zitakua za ukweli.
Aliuza nguo kwa maslah yake tu
Lulu akubali asikubali enzi zile alikua anatumia akili za Muna. Saiv maskin hadi huruma kaporomoka kisa kubembeleza ndoa
Naziona kejeli zako then nacheka hihihi!Mara anasema usalama wataifa .
Hakuna ajuaye .
Karubandika .wakizazi kipya
Siye umdhaniaye
Kumbe hana hela helaaaaa..
Longo longo nyingi
Lady jayde in YAHAYA
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule fundi garage anamlia hela sana huyu demu!Hukumu mbaya ila labda ni njia ya mkato ya kumkata zamaradi na mirija yote ya kupatia pesa kupitia ruge. Maana bidada kama ni pesa anazichota za maana kisingizio watoto kumbe malezi ya bwana wake
Kisa maliSaiv atakua na mawazo sana kuliko hata ndugu wa mgonjwa.
Na huo ndo ukweli mweupe peeNdio hicho ambacho mimi nimekiona watu wameamua kumgeuza fursa ...dahh mbaya Sana hii ...nadhani wameshahisi kuwa jamaa hatoweza ku survive ...kama ataweza ku survive kweli then anakuja kukuta Kwamba walimdhalilisha kwa kum changia michango ...aise sijui atakuwa na hali gani kifikira
Sent using Jamii Forums mobile app
Naziona kejeli zako then nacheka hihihi!
Page ya 9 hii unamwaga kejeli tu juu ya maradhi ya mtu!?
Ajabu.
Kijitonyama, fundi magari,Mario wa nguvu
Hata jamii ya wana katoliki (Catholic Church )ilimshangaa Galileo wakati alipokuwa anasema kwamba Jua halizunguki ila kinacho zunguka ni dunia ...na hatimae wakamuhukumu kifo
AiseeKijitonyama, fundi magari,
Unakumbuka kipindi kile matangazo ya car repair kwenye page yake insta?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijitonyama, fundi magari,
Unakumbuka kipindi kile matangazo ya car repair kwenye page yake insta?
Sent using Jamii Forums mobile app