witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Si umeambiwa ni Figo mkuuKwani anaumwa nini hadi matibabu yafikie huko na pengine bado hela inahitajika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si umeambiwa ni Figo mkuuKwani anaumwa nini hadi matibabu yafikie huko na pengine bado hela inahitajika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema kidogo kidogo zamaradi asikusikie greybakuzaKuna kitu Ruge analipizia hapa hapa duniani! Mungu ni mkubwa sana
Naomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhh! Anatumia milioni tano kila kukicha kwa ajili ya matibabu. Tumuombee kwa Muumba ili avuke kipindi hiki kigumu katika maisha yake, manake hata Dimpoz alifanikiwa.wakiwa wazima wa afya wanajifanya wanambwembwe na kujisifu kuwa wana mshiko, wakiugua wanajifanya kujishusha na kutuomba michango walala hoi. wasanii wa bongo vituko kama wa US tu,,,, GOFUNDME
Haha naanzaje kumuamini muokota makopo na muuza siso " ....... hapo ulipo hata sabuni ya kuogea tu unashindwa kununua
Hapa ndio panapo tushangaza .... wameshazoea kuwageuza wabongo ng'ombe wa maziwa ....haoruge ana mali kibao.. na baba yake ni proffessa.. kwao wana pesa na yeye ana mali kibao.. nashangaa why watu wanachangishwa.. ile escape one beach ni ya ruge , ile tatu mzuka inayotoa mazawadi kila wiki mahela ni ya ruge.. ile THT wasanii ni ya ruge..
Gari anazotembelea ruge sio used za kijapan.. ufupi maisha yake ni ya kitajiri.. nashangaa why asiuze asset zake?
Lea mtoto huyo, akikua kazae na Ruge pia nafsi itulie.I bet itakuwa umeuza mechi ... mimba ni yaruge hiyo umemsingizia mumeo .... sasa ukitazama ruge now anaumwa basi unazidi kuchanganyikiwa kicha kina waka moto kama jiko la gesi ....
Usijali mzee baba atapona tu " Subiri tumchangie kwanza ...haha ha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hivyo, hii ni hatari. Isije ikawa watu wanachangamkia fursaruge ana mali kibao.. na baba yake ni proffessa.. kwao wana pesa na yeye ana mali kibao.. nashangaa why watu wanachangishwa.. ile escape one beach ni ya ruge , ile tatu mzuka inayotoa mazawadi kila wiki mahela ni ya ruge.. ile THT wasanii ni ya ruge..
Gari anazotembelea ruge sio used za kijapan.. ufupi maisha yake ni ya kitajiri.. nashangaa why asiuze asset zake?
Acha uchokozi witnessj 😛😛...Watch out....kashatia timu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndo tajiri wa kwanza kuona anatembeza bakuli.Lissu sio tajiri hivyo hata akihitaji michango ni sawa.Ukweli ni kwamba wabongo wengi hawana kitu sema misifa na kujikweza ndo tuko vizuri.Hata Lissu alichangiwa na bado anaendelea kuchangiwa mpaka leo. Huo ni utamaduni wetu waafrika kushirikiana wakati wa matatizo. Haimaanishi kuwa Ruge na watu wake wa karibu wameshindwa kumudu gharama za matibabu. Kumbuka ameshatumia zaidi ya 600M, mpaka hapo inatosha kukupa picha kuwa huyo mtu siyo level yako wala ya ukoo wako.
Masikini tuache chuki, KUMCHUKIA TAJIRI HAKUKUFANYI UFANIKIWE WALA HAKUMSHUSHI TAJIRI.
Sent using Jamii Forums mobile app
ruge ana mali kibao.. na baba yake ni proffessa.. kwao wana pesa na yeye ana mali kibao.. nashangaa why watu wanachangishwa.. ile escape one beach ni ya ruge , ile tatu mzuka inayotoa mazawadi kila wiki mahela ni ya ruge.. ile THT wasanii ni ya ruge..
Gari anazotembelea ruge sio used za kijapan.. ufupi maisha yake ni ya kitajiri.. nashangaa why asiuze asset zake?
Haha siwezi kuchanganya damu yangu na matonya .... unanishauri ujinga ili na mimi nije kupata stress kama ambavyo wewe zamaradi unavyo zipata hivi sasa !?
Kama ni mzima una afya,kwanini uombe,THEY ARE DAMN RIGHT.wakiwa wazima wa afya wanajifanya wanambwembwe na kujisifu kuwa wana mshiko, wakiugua wanajifanya kujishusha na kutuomba michango walala hoi. wasanii wa bongo vituko kama wa US tu,,,, GOFUNDME
Hahahaa hureeeeee .... unataka zamaradi afe nini mkuuHuyu ndo tajiri wa kwanza kuona anatembeza bakuli.Lissu sio tajiri hivyo hata akihitaji michango ni sawa.Ukweli ni kwamba wabongo wengi hawana kitu sema misifa na kujikweza ndo tuko vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi ntakutumia advance 5% kabla ya deal. Niamini shosti.Haha naanzaje kumuamini muokota makopo na muuza siso " ....... hapo ulipo hata sabuni ya kuogea tu unashindwa kununua
Sent using Jamii Forums mobile app