Majizzo Ndani ya Clouds360 on Clouds Tv February 20

Majizzo Ndani ya Clouds360 on Clouds Tv February 20

Halafu ndoa ndo kimyaaa kirefu,zile tetesi za kipigo zitakua za ukweli.

Aliuza nguo kwa maslah yake tu

Lulu akubali asikubali enzi zile alikua anatumia akili za Muna. Saiv maskin hadi huruma kaporomoka kisa kubembeleza ndoa
Yule itakuwa aliuza kwa maslahi yake!

Mbona hatuoni hizo pesa alichofanyia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hukumu mbaya ila labda ni njia ya mkato ya kumkata zamaradi na mirija yote ya kupatia pesa kupitia ruge. Maana bidada kama ni pesa anazichota za maana kisingizio watoto kumbe malezi ya bwana wake
ruge ana mali kibao.. na baba yake ni proffessa.. kwao wana pesa na yeye ana mali kibao.. nashangaa why watu wanachangishwa.. ile escape one beach ni ya ruge , ile tatu mzuka inayotoa mazawadi kila wiki mahela ni ya ruge.. ile THT wasanii ni ya ruge..

Gari anazotembelea ruge sio used za kijapan.. ufupi maisha yake ni ya kitajiri.. nashangaa why asiuze asset zake?
 
Oooops!

Huyu ni tajiri asitutanie asee, kama ni hivo ni ana hela bana, clouds wasitutanie ujue[emoji134][emoji134]

Kibaya zaidi ukute yeye kama yeye hataki mambo haya, ila kwa kuwa hajui kinachoendelea watu wanajifyatua tuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hicho ambacho mimi nimekiona watu wameamua kumgeuza fursa ...dahh mbaya Sana hii ...nadhani wameshahisi kuwa jamaa hatoweza ku survive ...kama ataweza ku survive kweli then anakuja kukuta Kwamba walimdhalilisha kwa kum changia michango ...aise sijui atakuwa na hali gani kifikira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ruge ana mali kibao.. na baba yake ni proffessa.. kwao wana pesa na yeye ana mali kibao.. nashangaa why watu wanachangishwa.. ile escape one beach ni ya ruge , ile tatu mzuka inayotoa mazawadi kila wiki mahela ni ya ruge.. ile THT wasanii ni ya ruge..

Gari anazotembelea ruge sio used za kijapan.. ufupi maisha yake ni ya kitajiri.. nashangaa why asiuze asset zake?
Nahisi kuna harufu ya michezo hapa ktk hii michango...I smell honey badger anal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom