mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Hahah show off nyingi boss wangu.Ewaaaa, kaenda mahakamani kavurugwa mpaka kavaa sendozi inayotaka kukatika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah show off nyingi boss wangu.Ewaaaa, kaenda mahakamani kavurugwa mpaka kavaa sendozi inayotaka kukatika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikwambie kitu mdogo wangu maisha sio kama unavyoyaona hvyo acording tu yule ndugu yake ruge tayar wameshapend takriban milion 500 toka ameanza kuumwa so kama ni kuuza nyumba hapo ameuza nyumba ngap? kulazwa pale siku moja ni milion 5 unafikr ni jambo jepesi kwao kusema kwamba familia peke ake ifanye hvyo?
Kumbe shida ni kuitwa Boss!?Akili yako Huwa inapata twasira ipi pindi mtu anayefahamika mjini kwa kujita au kuitwa boss fulani ... anapogeuka kuwa Matonya !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka yahusike kusaidia matibabu au unataka kujua mali za mwanaume zilipo??Hayo majumba,mashamba yenyewe ya kuuza yako wapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kipotezeeHahaa ngoja niachane nae aise nisimpe kick Maybe anatafuta jina Jf kupitia mgongo wangu .... ili iweze kuwa rahisi kwake kuweza Kudanga humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie, wivu umetujaa sana, yaani inakuwa too much hadi mgonjwa anaonewa wivu...! Yaani ukiwauliza wanaomchukia Ruge asilimia kubwa hawana sababu. Mtu kama unamchukia mtu usilazimishe wengine wamchukie.Hata Lissu alichangiwa na bado anaendelea kuchangiwa mpaka leo. Huo ni utamaduni wetu waafrika kushirikiana wakati wa matatizo. Haimaanishi kuwa Ruge na watu wake wa karibu wameshindwa kumudu gharama za matibabu. Kumbuka ameshatumia zaidi ya 600M, mpaka hapo inatosha kukupa picha kuwa huyo mtu siyo level yako wala ya ukoo wako.
Masikini tuache chuki, KUMCHUKIA TAJIRI HAKUKUFANYI UFANIKIWE WALA HAKUMSHUSHI TAJIRI.
Sent using Jamii Forums mobile app
It's not fair at all[emoji25][emoji25]Ndio hivohivo.. Kajia kukamatia fursa..
Huku anachuma mali..
Anajichukulia kibenten anakioa anakieka ndani
Amechangia ruge kuugua huyu dada
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaposema tunauza majumba,mashamba yetu,nami nimeuliza hivyo vitu vyenyewe viko wapi?Unataka yahusike kusaidia matibabu au unataka kujua mali za mwanaume mwenzio zilipo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nlikua najua ni cash.. Nkapata wazo ahamie kwenye assetShost 600m ni alot of money eti[emoji134][emoji134]...je kama alikuwa na hiyo hiyo tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
NakaziaUnaweza kuta tunawasingizia tu,kumbe co. ni za wahindi tu wabongo tunaishia kupigwa sound eti za wabongo,hahah.
Kwa mwendo huu utakuta hata ya Clouds sio ya Kusaga labda inamilikiwa hata yule mbunge aligonga punda hahah.
Yaaaaaan[emoji134][emoji134][emoji134]Hahaha nilicheka that day ...tajiri akaagiza kwenda kushonewa sendozi ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Million 600. Ipi ambayo amemudu haha hiyo ni pesa yake including michango ya wana ndugu jamaa na marafiki aise .... baada ya kuona kuwa matibabu ya jamaa yana wafilisi wakaona wausukumizie mfupa uliomshinda fisi kwa watanzania ....Kumbe shida ni kuitwa Boss!?
Basi tufanye huo uboss wake ndo umemfanya amudu bill ya 600M ambayo wewe unaishia kuisikia bungeni kwenye mijadala ya bajeti.
Amakweli chuki ni Ugonjwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora uwe nomo tuu, napenda kuwa wa kawaida humu duniani, hupati shida kabisaHahah show off nyingi boss wangu.
Hahaa hakuna Mtu Anaye mchukia ruge ... kwanza kama ulikuwa haujui mimi nathamini sana mchango wake alionao katika jamiiNi zaidi ya uchawi Kumchukia na kumuonea wivu mgonjwa, basi umweni nyie tuwachangie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchawi siyo mpaka upige manyanga, Chuki mlizonazo ni uchawi tosha.Million 600. Ipi ambayo amemudu haha hiyo ni pesa yake including michango ya wana ndugu jamaa na marafiki aise .... baada ya kuona kuwa matibabu ya jamaa yana wafilisi wakaona wausukumizie mfupa uliomshinda fisi kwa watanzania ....
Sent using Jamii Forums mobile app