sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,759
We ukiugua unaanza kuuza mali zako, mashamba na majumba kabla hujawahusisha ndugu, jamaa na marafiki wanaoweza kuku support??Naomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app