We ukiugua unaanza kuuza mali zako, mashamba na majumba kabla hujawahusisha ndugu, jamaa na marafiki wanaoweza kuku support??Naomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nkuulize swali Numby.. Hivi ruge pamoja na kuwa tajiri wa kuogopwa leo hana hata nyumba ya kisasa au hata ghorofa aliuze badala ya kutembeza bakuli jamani.. Mi hata sielewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani muda wote huo aliokuwa anatibiwa ulimchangia gharama za matibabu!!? Wamejitolea watu wake wa karibu na wapenzi wa CMG kumchangia mpendwa wao we unawashwa nini!?Sinilisikia kuwa ana HISA 3 mzuka ... ina maana mihela yote ile wanayo jifanya kugawa gawa kwa washindi " Ameshindwa kuchukua hata Faida ya walichokuwa wanakiingiza kwaajili ya kumpatia matibabu kweli !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Domo anakwambia ana 14b [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...lkn kutunza mtoto wake hapa dar ishuu
Meona eeeeh?Wengine tumekuja kuwasindikiza duniani.
Nawaza kama ndo mie maskini naumwa naskia natakiwa zaidi ya mil 600 akati hata hela ya dagaa siijui ntakufa kabla sijagusa matibabu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa ..wewe umejuaje kuwa ananizidi uwezo wa kiuchumi Au umekuwa mpiga ramli .... Naona ume panic bila shaka itakuwa ni zamaradi weweKwani muda wote huo aliokuwa anatibiwa ulimchangia gharama za matibabu!!? Wamejitolea watu wake wa karibu na wapenzi wa CMG kumchangia mpendwa wao we unawashwa nini!?
Kwa taarifa yako hata usipotoa senti yako inayonuka umasikini bado tu atatibiwa na ukweli hautabadilika kuwa Anakuzidi uwezo (kiuchumi) wewe na ukoo wako wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo vyote si vimetoka kwa huyo anayeumwa au?Anatembelea Bmw bwana..
Naskia huyo dada tajiri na anaishi kwenye bonge la jumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa. Ndio wawe wana weka Akiba ya maneno basii kwa maana siku huwa hazigandi " Inastaajabisha kuona kwamba Tajiri anataka kuchangiwa mpaka na kina siye pangu pakavuKama Domo anakwambia ana 14b [emoji1787][emoji1787][emoji1787]...lkn kutunza mtoto wake hapa dar ishuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watch out....kashatia timu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaa ..wewe umejuaje kuwa ananizidi uwezo wa kiuchumi Au umekuwa mpiga ramli .... Naona ume panic bila shaka itakuwa ni zamaradi wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi na wewe hatujui lakini milioni 600 yaweza kuwa utajiri wa MTU na unaweza zisaka mpaka unakufa usizione
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasipokurusha roho...hutawaheshimu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaaa. Ndio wawe wana weka Akiba ya maneno basii kwa maana siku huwa hazigandi " Inastaajabisha kuona kwamba Tajiri anataka kuchangiwa mpaka na kina siye pangu pakavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa kumbe !!! Kama ndiye yeye wala hanisumbui ...tumemkuza wenyewe kinondoni studio alikuwa mchafu mchafu tuWatch out....kashatia timu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi hawa wasanii siwaamini hata kwa bakora mia naapa vile...Ilikua kabla ya valentine.. Sijaona video nyingine ilosambaa ikipnyesha anagawa vitu kwa hao watoto.. Sijaona kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa haraka haraka .. nilivyoona mimi anaye dhalilika hapa ni yule ambaye tulikuwa tunaaminishwa kuwa ana mihela kumbe ni alfu lela ulela tuMkuu tutafute hela...tutaishia kudhalilika yakitufika na umaskini
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaahaaaa uwiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]....huwaga mambo mengine hajuagi kupotezea bi shost!Hahaa kumbe !!! Kama ndiye yeye wala hanisumbui ...tumemkuza wenyewe kinondoni studio alikuwa mchafu mchafu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Masikini hajifichi, nanusa harufu ya ufukara kwenye maandishi yako.Hahaa ..wewe umejuaje kuwa ananizidi uwezo wa kiuchumi Au umekuwa mpiga ramli .... Naona ume panic bila shaka itakuwa ni zamaradi wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa haraka haraka .. nilivyoona mimi anaye dhalilika hapa ni yule ambaye tulikuwa tunaaminishwa kuwa ana mihela kumbe ni alfu lile ulela tu
Sisi masikini hata tukidhalilika story zetu zitaashia mtaani huko sana sana zikizidi sana ni mtaa wa 3 na wa pili
Sent using Jamii Forums mobile app