Major General Mhidze aliyekuwa MSD apelekwe kwenye Court Martial

Major General Mhidze aliyekuwa MSD apelekwe kwenye Court Martial

Kuna watu wansema tusiseme vibaya kwa sababu ni mwanajeshi. Watanzania tuna kosa sana exposure. Nchi ambazo demokrasia imekoo, hata Rais anashitakiwa ... achilia mbali huyu Meja General wa Mchongo.
Kwanza mwendaze alikuwa anatoa vyeo kikanda.... usikute hata huyu alimpa huo u meja kwa ukanda. Kama kuna upotevu na unadhirifu wa mali za umma, iongewe wazi na isemwe bila woga, hakuna aliye juu ya sheria Hata rais hayupo juu ya sheria seuzi huyo meja gen.
Na haya ni masalia ya mwendazake kunyanganya wananchi ajira na kuwapa wanajeshi... ili baadae angeongeza muda wasiwe na say. Mama safisha kote kwenye wqnajeshi kwenye taasisi za umma. Taasisi za umma ziachiwe raia, mwendazake alitukosea heshima.

Kama tunazungumza mazuri ya JPM , na mabaya yake tuyaseme ; kuna mazuri alifanya na kuna mabaya kama haya ya kupora taasis za umma alifanya. Unamuwekaje mtu kwenye taasisi za umma zenye siasa ndani yake huko akifanya ubadhilifu huwezi kumshitaki kirahisi, na wanajeshi wengi sana ni janja janja kwa kigezo cha uzalendo, na wakifanya makosa wnaasingizia raia ... ni wapigaji sana kama yule jamaa wa takukuru akasingizia watumishi wa kawaida.
isijirudie tena kuweka kanda ya ziwa kwenye urais... hawa watu ni roho mbaya, wabinafsi na ni uncivilized .
Hatukufikia hatua ya kupigana Risasi mchana kweupe Tanzania, hatukufia hatua ya kupotea, yupo wapi Ben saanane.... kijana mdogo kamwagiwa tindikali bila hatia. Isijirudie tena kanda ya ziwa kupewa uongozi wowote wa juu. CCM tunachakujifunza kwa tuliyopitia
Unakosa weledi kwenye hoja zako, labda kama wewe ni mtu wa FB na sio JF...umeshawahi kusikia hii quote "No research, no right to speak"
Kwanza, unasema Mhidze ni Meja Jenerali wa mchongo...kwa taarifa yako ni kuwa yeye amepanda vyeo hivyo miaka mingi kabla ya Magufuli kuwa Rais, na ile taasisi ina utaratibu wake. Mhe Rais Magufuli ameingia madarakani huyu akiwa Mkuu wa hospitali ya Kijeshi ya Lugalo. Lakini pia kitaaluma yeye ni daktari bingwa wa binadamu (specialist MD) na kasomea Tanzania na Urusi. Kwa hiyo hoja yako ya mchongo haina mashiko.
Pili, Kuhusu hoja ya vyeo kutolewa kikanda. Nadhani ni vyema uelewe tofauti kati ya cheo na madaraka. Huyu Mhidze cheo chake ni Major General ambacho ni stahili yake aliyopata huko Jeshini kwa sifa alizokuwa nazo, lakini huku MSD alipewa madaraka ya CEO au MD. Tofauti ndogo kama hizi zinapima umakini wa mleta hoja kama kweli ni Great Thinker.
Tatu, kuhusu ukanda, imeelezwa hapa kuwa Mhidze ni mwenyeji wa Mkoa wa Njombe, kwa anayejua jiografia ya Tanzania, kanda hiyo ya Nyanda za Juu, sio ukanda mmoja na ule ukanda wa Ziwa alipotoka Mhe Magufuli. Nakushauri ujifunze kutofautisha hisia na uhalisia.
Nne, hoja yako kuhusu Wanajeshi kuwanyanganya Raia nafasi kwenye Taasisi za Umma nakushauri usome Civil Military Relations in Tanzania by Abillah H. Omari
 
Niseme tu haujui siasa na fitina za hii nchi. Huyu Mjeshi wanaomjua na kujua maisha yake wanakataa kabisa kuwa ni Mwizi na mbadhilifu .
Sema aliziba upigaji uliozoeleka pale MSD na ujue tu kuwa unapoziba upigaji MSD ni dhahiri utakuwa umegusa kundi kubwa sana la wafanyabiashara nje ya MSD na Wanasiasa, yaani ni Network moja kubwa sana ambayo ikiamua kukutengenezea zengwe ujue HUTACHOMOKAA na hoja za kuaminisha kasoro zako hazitakosekana hata kidogo.

Sio kwamba kwenye taasisi zingine hakuna kasoro za manunuzi au mbadhilifu , tena ukute kuna madudu makubwa sana lakini jiulize ni kwanini HAKUNA SOUND KAMA HIZI ZA MSD.
Kweli asee Mzee mhidze na hizi tuhuma alizotoa huyu bwana pasi na ushahidi zina mashaka Sana.
Lakini embu tuanze na kurejea ripoti ya CAG ya 2021, Je, alisema chochote kuhusu ubadhilifu MSD? Kama hakusema chochote ni kwanini? Hakukua na ubadhilifu au ripoti yake ilikua na mapungufu? Kama ilikua na mapungufu basi failure ya Kwanza inaanza kwake na kutia mashaka kuamini ripoti zake maana kwa tuhuma alizotoa huyu bwana ni za 2020
 
Mtalishwa kila aina ya propaganda. Mhidze kwao kijijini ni lupembe - Njombe. Sasa hata ww kwa muda wako kaulize huko lupembe Kuna kiwanda cha MSD?
Hiki kikundi cha watu kimedhamiria kwa Ari na Shari kuhakikisha wanaua legacy ya JPM,
 
Unakosa weledi kwenye hoja zako, labda kama wewe ni mtu wa FB na sio JF...umeshawahi kusikia hii quote "No research, no right to speak"
Kwanza, unasema Mhidze ni Meja Jenerali wa mchongo...kwa taarifa yako ni kuwa yeye amepanda vyeo hivyo miaka mingi kabla ya Magufuli kuwa Rais, na ile taasisi ina utaratibu wake. Mhe Rais Magufuli ameingia madarakani huyu akiwa Mkuu wa hospitali ya Kijeshi ya Lugalo. Lakini pia kitaaluma yeye ni daktari bingwa wa binadamu (specialist MD) na kasomea Tanzania na Urusi. Kwa hiyo hoja yako ya mchongo haina mashiko.
Pili, Kuhusu hoja ya vyeo kutolewa kikanda. Nadhani ni vyema uelewe tofauti kati ya cheo na madaraka. Huyu Mhidze cheo chake ni Major General ambacho ni stahili yake aliyopata huko Jeshini kwa sifa alizokuwa nazo, lakini huku MSD alipewa madaraka ya CEO au MD. Tofauti ndogo kama hizi zinapima umakini wa mleta hoja kama kweli ni Great Thinker.
Tatu, kuhusu ukanda, imeelezwa hapa kuwa Mhidze ni mwenyeji wa Mkoa wa Njombe, kwa anayejua jiografia ya Tanzania, kanda hiyo ya Nyanda za Juu, sio ukanda mmoja na ule ukanda wa Ziwa alipotoka Mhe Magufuli. Nakushauri ujifunze kutofautisha hisia na uhalisia.
Nne, hoja yako kuhusu Wanajeshi kuwanyanganya Raia nafasi kwenye Taasisi za Umma nakushauri usome Civil Military Relations in Tanzania by Abillah H. Omari
Agiza bia nakuja kulipa
 
Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)

Kwanza inakuaje mtu mmoja anajenga kiwanda cha multibilion bila ya kufanya feasibility study ? Hivi kwanini hii nchi inaendeshwa kienyeji, matokeo yake viwanda kama hivi vinaenda kuwa magofu. Kuna kiwanda chochote cha maana jeshini ? Kama kweli wanajeshi are Good Kwenye leadership, jeshi lingekuwa na kiwanda cha maana.
Watu wanafanya ubadhilifu mnataka isisemwe, kisa ni mwanajeshi, hapa hatusemi jeshi, tunasema misconduct iliyofanywa na mtu mmoja.
Hatukuwa na uhaba wa wataalam ndani hadi kufikia hatua ya kuwapa taasisi wanajeshi ambao hawana skills za management za public institutions Kweli mtu kazi yake ilikuwa ni kuattend wagonjwa hapo lugalo Hospitali ambayo bajeti yake haizidi hata mil 200, kupewa taasisi kama msd multibilion organisation. Ni moja yaa Mambo ya hovyo yaliyofanywa na mwendazake.

Pccb , fanyeni kazi yenu, zipo taratibu za kumfikisha mahakaman, isiende kimya kimya.
CCM wenzangu, tusirudie tena kosa la 2015, damage iliyofanywa ni kubwa sana. Kuna jamii iwe ni mwiko kufika ikulu
 
Inamana kiwanda kipo kijijini kwao Lupembe??Embu fafanuwa! Maana kati ya Watanzania waaminifu na wazalendo kama Nyerere huyu ni mmoja wao na isitoshe Wanajeshi wapo kuilinda na kupigania ustawi wa nchi na watu wake. Sijawai sikia kuna Mwanajeshi amekamatwa kwa Ubadilifu ata siku moja.Kumbuka mpaka mkataba unasainiwa ni zaidi ya mwaka kama sio miaka- yeye ni msaini mikataba walio chini yake ndo wanaofaidika na all bad deals jua hilo. Tender Board na watu wa kitengo cha manunuzi wanawaangushia Ma MD majumba mabovu kila kukicha. Kwa huyu Jamaa nakataa kama alikuwa Ntu wa Dilli namfahamu na najua how serious alivyo
Njoo huku kijijini masanza simiyu huku uone mwanajeshi mmoja alivyofanya kufuru
 
CcM ni pori la majizi.huwezi kumaliza kwa kukata mti mmoja mmoja. unatakiwa kutia kiberiti moto uwake
we have similar minds but for me I thought of time not bush fire . Yaani in 40+ years by the Almighty God will majizi yote ya bongo yanayojifanya nchi ni mali yao tayari yanaweza kuwa mavumbini ndani ya makaro ya cement huku watoto wetu wakiinjoy life maana yote ni Mazee for now!

Najua wengine mtasema Mazee ya nchi yanaweka watoto wao kazini ila baba akiondoka siku zote kila mtoto anampima ubavu mwenzake, itajulikana tu!
 
Hivi vyo vya kisiasa vya kupeana bana, sasa ona Mojar General kaingia kwenye matatizo.

Kwa msio elewa vyeo vya kijeshi huyu Major General ni mtu mkubwa mno jeshini, huyu ranking yake kama ni vita anaongoza kikosi kizima kama ni cha Mizinga, Askari wa miguu, anga ama majini.

Nashauri arudi jeshini na asisumbuliwe maana CCM ndiyo wamemletanizia haya yote.
 
Mzizi wa matatizo ya MSD ni Major General Gabriel Mhidze aliyepekwa pale mwaka 2020 na Hayati Magufuli. Pamoja na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha za UVIKO, kuna hizi 3 nazo lazima zifuatiliwe na TAKUKURU;

1. Mmamo August 2021 alilipa USD 1.5 Million kwa Kampuni ya Misri ambayo ni hewa. Hata utaratibu wa zabuni haukufanyika katika kuwapata ma supplier hao. Fedha zimepotea na hazitapatikana

2. Amejenga kiwanda cha MSD cha kutengeneza gloves kijijini kwake kwa thamani ya zaidi Tsh 35 Bilion bila Kufuata sheria ya MSD
  • Sheria ya Manunuzi
  • Hakuna Kibali cha Wizara wala Bodi
-Feasibility study

Kiwanda kipo kwenye shamba la Familia ambalo MSD imelinunua bila taratibu za zabuni.

Wanaweza wakawakamata vidagaa na kuwapeleka TAKUKURU lakini tatizo limesabanishwa na Major General mwenyewe. Aliwahamishia wizara nyingine wafanyakazi wote waliokuwa wanampinga anapovunja sheria.

Ni wakati sasa JWTZ wakampeleka akakabiliane na Mahakama ya Jeshi (Court Martial)
Tuna bahati Mwenda zake katoka, watu kama wanajeshi wanapshwa kubaki jeshini maana wakionja uraia wakanogewa yanawakuta ya Sudan ambapo hawataki kuachia madaraka.Huyu jamaa hana makosa na kwa kuwa sera za mama ni maridhiano amwachie, KITI cha mama ndicho kilimwingiza sehemu isiyo fani yake
 
Back
Top Bottom