Majumuisho kesi Mbowe, Kinyang'anyiro ni katika DR

Nilisikia/kuona Video ktk bunge la umoja wa ulaya wakisema kuwa wawakilishi wao walio hudhuria mahakamani kufuatilia kesi ya Mbowe walitoa tathmini kwa kusema kuwa kesi haikuwa na msingi wa kisheria bali ni ya kisiasa.Kama video ile ni ya kweli,tutegemee DPP kuachana nayo maana hakuna namna.
 
hivi haki unayoitegemea ndugu hapani kama ipi maana naona kama una jibu tayari kuwa akiamua hivi tu hajatenda haki na akiamuahivi katenda haki?
Wewe uonavyo mpaka sasa katika hiyo kesi kuna shahidi kaelezea ugaidi ?
 
Unawajaza watu matumaini kwa habari za uongo- mda utasema natamani tu hutahamisha milingoti ya goli wala kusema uamuzi umetolewa na jaji wa michongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…