Mdigokhan
JF-Expert Member
- May 2, 2022
- 942
- 2,198
Wazazi naomba tuongee kwa dakika 5 tu…
Sisi Tumechoka sana Tukija kuwatembelea makwenu Iwe kipindi cha matatizo Au matembezi ya kawaida, ila Naomba Niongelee sisi ambao tunaofikia makwenu Kuja kutafuta maisha…
Kuna hawa watoto wenu hasa wenye majina ya JUNIO aisee wanatuboa sanaa sanaa Hawavumiliki Ni wasumbufu sana, Utakuta nimekuja labda kwa dada angu au kwa kaka au ndugu yoyote kwa mambo yangu Ya kutafuta kazi ila hawa watoto wenu wamekuwa kero…
Utakuta upo bizee na mawazo yako ila yeye kashakuja kukulukia na unajaribu kumkataza kisilent ocen Ili mama ake asisikie ila yeye Hataki Analiaa Unabaki Unambembelezaa… 😡
Wakati wachakula tunakula kwa woga ivo Tunapakua kidogo ili msijetusema tukiondoka ila ichoicho chakula kidogo Junio anataka na yeye ale Irihali mi mwenyewe sishibi Yani usumbufu tu na utakuta mama ake Anachekelea ujinga 😡
‘We junio muache anko’
Kudadeki inamaana huoni mwanao anavonigasi,Soda yenyewe moja ila hio hio anataka nimpe na yeye anywe Afu anataka tushee mdomo… 😡
Unaongea na simu anakuja na yeye anataka kuongea hajui naongea na nani ananipalamia Tu…TUMECHOKA TABIA ZA WENENU..😡
Saa 12 Alfajili kashakuja mlangoni kugonga mlango Kwa nguvu au Kashaingia mpk chumbani Kunisumbua kitandani Yani kero kero na mama ake anacheka tu ☹️
Unaangalia Tamthilia nzuri ila yeye anakuja anataka uweke ITV aangalie JIJI LETU 😡 How??? Afu mama ake anacheka tu
Ukitoka kutafuta job ushapigwa na jua Ushagombana na konda kwaajili nauli imefemea 100 Unarudi home anakudaka Anataka Zawadi huku analia Afu mama ake anacheka tu… 😡
Mmekaa Mnakula anaanza kukuliza ‘Anko unaondoka lini’ Unabaki unajichekesha afu mama ake nae anacheka tu 😡
Tumechoka Ivo wakatazeni wenenu Wafokeeni hao wakina junio Wanaboa sana, Kuja kwako Sijaja kujisikilizia mimba mimi ila nimekuja kujiweka ili nitafute kazi So wakati wowote naondoka zangu…
Kuna siku mtatufukuza mana atapigwa mtu kofi mpk aone wenge…
Sisi Tumechoka sana Tukija kuwatembelea makwenu Iwe kipindi cha matatizo Au matembezi ya kawaida, ila Naomba Niongelee sisi ambao tunaofikia makwenu Kuja kutafuta maisha…
Kuna hawa watoto wenu hasa wenye majina ya JUNIO aisee wanatuboa sanaa sanaa Hawavumiliki Ni wasumbufu sana, Utakuta nimekuja labda kwa dada angu au kwa kaka au ndugu yoyote kwa mambo yangu Ya kutafuta kazi ila hawa watoto wenu wamekuwa kero…
Utakuta upo bizee na mawazo yako ila yeye kashakuja kukulukia na unajaribu kumkataza kisilent ocen Ili mama ake asisikie ila yeye Hataki Analiaa Unabaki Unambembelezaa… 😡
Wakati wachakula tunakula kwa woga ivo Tunapakua kidogo ili msijetusema tukiondoka ila ichoicho chakula kidogo Junio anataka na yeye ale Irihali mi mwenyewe sishibi Yani usumbufu tu na utakuta mama ake Anachekelea ujinga 😡
‘We junio muache anko’
Kudadeki inamaana huoni mwanao anavonigasi,Soda yenyewe moja ila hio hio anataka nimpe na yeye anywe Afu anataka tushee mdomo… 😡
Unaongea na simu anakuja na yeye anataka kuongea hajui naongea na nani ananipalamia Tu…TUMECHOKA TABIA ZA WENENU..😡
Saa 12 Alfajili kashakuja mlangoni kugonga mlango Kwa nguvu au Kashaingia mpk chumbani Kunisumbua kitandani Yani kero kero na mama ake anacheka tu ☹️
Unaangalia Tamthilia nzuri ila yeye anakuja anataka uweke ITV aangalie JIJI LETU 😡 How??? Afu mama ake anacheka tu
Ukitoka kutafuta job ushapigwa na jua Ushagombana na konda kwaajili nauli imefemea 100 Unarudi home anakudaka Anataka Zawadi huku analia Afu mama ake anacheka tu… 😡
Mmekaa Mnakula anaanza kukuliza ‘Anko unaondoka lini’ Unabaki unajichekesha afu mama ake nae anacheka tu 😡
Tumechoka Ivo wakatazeni wenenu Wafokeeni hao wakina junio Wanaboa sana, Kuja kwako Sijaja kujisikilizia mimba mimi ila nimekuja kujiweka ili nitafute kazi So wakati wowote naondoka zangu…
Kuna siku mtatufukuza mana atapigwa mtu kofi mpk aone wenge…