Acha upumbavu, yaan mtoto abakwe kisa tabia mbaya?
Yafunzeni tabia njema hayo matoto yenu yaliyokosa adabu kwa wakubwa wao, mitoto ya hivyo ndio chimbuko la maadili mabovu kama ushoga na ukahaba
Haiwezekan mtoto awe kero kwa wageni, kama wakubwa zako walikufunza kwa maadili nawew wafunze maadili msijikute wazungu weusi wakati mnatuharibia kizazi kijacho kutuzalishia mashoga na wasagaji.
Badilikeni, malezi ya kiafrika mtoto lazima ale fimbo za kutosha, Mafundisho ya kutosha kuhusu maisha na tabia njema, huku bakora na adhabu zikienda sambamba pale anapokosea.
Jikute kim kardashian kuwalea watoto kimarekan utakuja kuilaumu jamii miaka ijayo.
Alafu unakuta kuna Limzazi linajivunia eti alipigi fimbo watoto, kwa maajabu gani waliyo nayo, watoto ni lazima wakosee maana hawana ujuzi bado wa mambo hivyo ukiamin hawakosei na huwapi adhabu tutegemee kizazi cha mashoga, wasagaji, waizi, wavuta bangi na kila aina ya tabia chafu.
Pigeni hiyo mitoto yenu yenye tabia chafu kwa jamii.
Mimi mitoto ya hivyo ikinoboa nalitandika vibao na nakushitaki kwa kushindwa kulea mtoto ktk sehemu husika ili uchukuliwe hatua kali za kinidhamu.
Waleeni vyema hao watoto