Majunio Wanazingua

Majunio Wanazingua

Me bado nakula msosi wa mama my friend😃🙈
Binti unaingiza kipato,
unao uwezo wa kujitegemea,
unaamini katika uungu,
upo tayari kusaidia jamii,

basi unakaribishwa FREEMASONRY. ubadilishe maisha yako. 🌹🌹🖤
 
Wazazi naomba tuongee kwa dakika 5 tu…

Sisi Tumechoka sana Tukija kuwatembelea makwenu Iwe kipindi cha matatizo Au matembezi ya kawaida, ila Naomba Niongelee sisi ambao tunaofikia makwenu Kuja kutafuta maisha…

Kuna hawa watoto wenu hasa wenye majina ya JUNIO aisee wanatuboa sanaa sanaa Hawavumiliki Ni wasumbufu sana, Utakuta nimekuja labda kwa dada angu au kwa kaka au ndugu yoyote kwa mambo yangu Ya kutafuta kazi ila hawa watoto wenu wamekuwa kero…

Utakuta upo bizee na mawazo yako ila yeye kashakuja kukulukia na unajaribu kumkataza kisilent ocen Ili mama ake asisikie ila yeye Hataki Analiaa Unabaki Unambembelezaa… [emoji35]

Wakati wachakula tunakula kwa woga ivo Tunapakua kidogo ili msijetusema tukiondoka ila ichoicho chakula kidogo Junio anataka na yeye ale Irihali mi mwenyewe sishibi Yani usumbufu tu na utakuta mama ake Anachekelea ujinga [emoji35]

‘We junio muache anko’

Kudadeki inamaana huoni mwanao anavonigasi,Soda yenyewe moja ila hio hio anataka nimpe na yeye anywe Afu anataka tushee mdomo… [emoji35]

Unaongea na simu anakuja na yeye anataka kuongea hajui naongea na nani ananipalamia Tu…TUMECHOKA TABIA ZA WENENU..[emoji35]

Saa 12 Alfajili kashakuja mlangoni kugonga mlango Kwa nguvu au Kashaingia mpk chumbani Kunisumbua kitandani Yani kero kero na mama ake anacheka tu [emoji3525]

Unaangalia Tamthilia nzuri ila yeye anakuja anataka uweke ITV aangalie JIJI LETU [emoji35] How??? Afu mama ake anacheka tu

Ukitoka kutafuta job ushapigwa na jua Ushagombana na konda kwaajili nauli imefemea 100 Unarudi home anakudaka Anataka Zawadi huku analia Afu mama ake anacheka tu… [emoji35]

Mmekaa Mnakula anaanza kukuliza ‘Anko unaondoka lini’ Unabaki unajichekesha afu mama ake nae anacheka tu [emoji35]

Tumechoka Ivo wakatazeni wenenu Wafokeeni hao wakina junio Wanaboa sana, Kuja kwako Sijaja kujisikilizia mimba mimi ila nimekuja kujiweka ili nitafute kazi So wakati wowote naondoka zangu…

Kuna siku mtatufukuza mana atapigwa mtu kofi mpk aone wenge…

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Utajua hujui, km unaona kero kakae ghetto na washkaji zako lkn Junior muache km alivyo ndio final say na ukichanganya ni first born!!!! Shemeji kazi unayo.

Nimesahau, kingine ni kwamba namtuma kukuuliza unaondoka lini makusudi, sababu unapenda kula hovyo soda hazipumui kwenye friji!!!!!

Wewe uliona wapi kreti la soda linaisha ndani ya siku 3 na ndani tuko wachache, kakaako mwenyewe anakunywa pombe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Binti unaingiza kipato,
unao uwezo wa kujitegemea,
unaamini katika uungu,
upo tayari kusaidia jamii,

basi unakaribishwa FREEMASONRY. ubadilishe maisha yako. 🌹🌹🖤
hatuna shida na hela kwetu😂😂😂,, no vile tu sheria ya nyumbani kuondoka hadi ndoa 🤣
 
niliwahi kwenda kwa Mjomba wangu miaka ya nyuma, walikuwa wanajiweza sana kifedha.

Ile nafika navua viatu na soksi zangu zilizotoboka nkazificha ndani,nikakaa na kuanza soga na salamu na wenyeji wangu(Anko,mke wake, na mabinamu wa kike)

Mara ghafla junia wa Anko kashafichua soksi zangu kweny kiatu akaja sebuleni katikati ya watu na kusema” Mhhh mama ona soksi za anko zimetoboka halafu zinanuuuka”

Waliangua kicheko sebule nzima, na mimi nikabaki kujichekesha kinafiki ila niliuumia sana mana aliniuumbua kinoma.

SIKUPENDA NA NILIKAA SIKU 1 ILA YULE MTOTO ALIKUWA SHIDA SANA

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaa!!! Nimecheka jamani
 
Haya mambo ya kuwasema watoto kama wakubwa wenzenu ndio inapelekea matukio ya ubakaji na ulawiti kwa watoto uongezeke, mtu mzima kama wewe kuweka ligi na mtoto hadi kufungua uzi huoni aibu!?? Kwani ukituliza korodani zako kwako huyo Junia utamuonea wapi???
Acha upumbavu, yaan mtoto abakwe kisa tabia mbaya?

Yafunzeni tabia njema hayo matoto yenu yaliyokosa adabu kwa wakubwa wao, mitoto ya hivyo ndio chimbuko la maadili mabovu kama ushoga na ukahaba

Haiwezekan mtoto awe kero kwa wageni, kama wakubwa zako walikufunza kwa maadili nawew wafunze maadili msijikute wazungu weusi wakati mnatuharibia kizazi kijacho kutuzalishia mashoga na wasagaji.

Badilikeni, malezi ya kiafrika mtoto lazima ale fimbo za kutosha, Mafundisho ya kutosha kuhusu maisha na tabia njema, huku bakora na adhabu zikienda sambamba pale anapokosea.

Jikute kim kardashian kuwalea watoto kimarekan utakuja kuilaumu jamii miaka ijayo.

Alafu unakuta kuna Limzazi linajivunia eti alipigi fimbo watoto, kwa maajabu gani waliyo nayo, watoto ni lazima wakosee maana hawana ujuzi bado wa mambo hivyo ukiamin hawakosei na huwapi adhabu tutegemee kizazi cha mashoga, wasagaji, waizi, wavuta bangi na kila aina ya tabia chafu.

Pigeni hiyo mitoto yenu yenye tabia chafu kwa jamii.

Mimi mitoto ya hivyo ikinoboa nalitandika vibao na nakushitaki kwa kushindwa kulea mtoto ktk sehemu husika ili uchukuliwe hatua kali za kinidhamu.

Waleeni vyema hao watoto
 
niliwahi kwenda kwa Mjomba wangu miaka ya nyuma, walikuwa wanajiweza sana kifedha.

Ile nafika navua viatu na soksi zangu zilizotoboka nkazificha ndani,nikakaa na kuanza soga na salamu na wenyeji wangu(Anko,mke wake, na mabinamu wa kike)

Mara ghafla junia wa Anko kashafichua soksi zangu kweny kiatu akaja sebuleni katikati ya watu na kusema” Mhhh mama ona soksi za anko zimetoboka halafu zinanuuuka”

Waliangua kicheko sebule nzima, na mimi nikabaki kujichekesha kinafiki ila niliuumia sana mana aliniuumbua kinoma.

SIKUPENDA NA NILIKAA SIKU 1 ILA YULE MTOTO ALIKUWA SHIDA SANA
😅😅😅😅😅Daah
 
Kweli kuna watoto wasumbufu sana na chanzo ni wazazi. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo
 
niliwahi kwenda kwa Mjomba wangu miaka ya nyuma, walikuwa wanajiweza sana kifedha.

Ile nafika navua viatu na soksi zangu zilizotoboka nkazificha ndani,nikakaa na kuanza soga na salamu na wenyeji wangu(Anko,mke wake, na mabinamu wa kike)

Mara ghafla junia wa Anko kashafichua soksi zangu kweny kiatu akaja sebuleni katikati ya watu na kusema” Mhhh mama ona soksi za anko zimetoboka halafu zinanuuuka”

Waliangua kicheko sebule nzima, na mimi nikabaki kujichekesha kinafiki ila niliuumia sana mana aliniuumbua kinoma.

SIKUPENDA NA NILIKAA SIKU 1 ILA YULE MTOTO ALIKUWA SHIDA SANA
Mimi ilikua 2005 Nilienda kutembea tu mara moja kwa ndugu flani hivi alikua na kacheo police walikua wanakata kota Ila za kishua.

Yule mtoto wake si akaanza kunipiga. Bila sababu dogo akawa anapiga piga kinoma, dada yake anamkataza lakini dogo ndio anazidisha

Yule mtoto alilelewa kiujinga Sana, nilibaki najiuliza hawa wazazi wake wanakubali vipi anakua na tabia mbovu vile? Mama yake alikua ni mtu mwenye dharau, majivuno na wa ajabu sana
 
Haya mambo ya kuwasema watoto kama wakubwa wenzenu ndio inapelekea matukio ya ubakaji na ulawiti kwa watoto uongezeke, mtu mzima kama wewe kuweka ligi na mtoto hadi kufungua uzi huoni aibu!?? Kwani ukituliza korodani zako kwako huyo Junia utamuonea wapi???
Unajua maisha wewe…embu danga…
 
Acha upumbavu, yaan mtoto abakwe kisa tabia mbaya?

Yafunzeni tabia njema hayo matoto yenu yaliyokosa adabu kwa wakubwa wao, mitoto ya hivyo ndio chimbuko la maadili mabovu kama ushoga na ukahaba

Haiwezekan mtoto awe kero kwa wageni, kama wakubwa zako walikufunza kwa maadili nawew wafunze maadili msijikute wazungu weusi wakati mnatuharibia kizazi kijacho kutuzalishia mashoga na wasagaji.

Badilikeni, malezi ya kiafrika mtoto lazima ale fimbo za kutosha, Mafundisho ya kutosha kuhusu maisha na tabia njema, huku bakora na adhabu zikienda sambamba pale anapokosea.

Jikute kim kardashian kuwalea watoto kimarekan utakuja kuilaumu jamii miaka ijayo.

Alafu unakuta kuna Limzazi linajivunia eti alipigi fimbo watoto, kwa maajabu gani waliyo nayo, watoto ni lazima wakosee maana hawana ujuzi bado wa mambo hivyo ukiamin hawakosei na huwapi adhabu tutegemee kizazi cha mashoga, wasagaji, waizi, wavuta bangi na kila aina ya tabia chafu.

Pigeni hiyo mitoto yenu yenye tabia chafu kwa jamii.

Mimi mitoto ya hivyo ikinoboa nalitandika vibao na nakushitaki kwa kushindwa kulea mtoto ktk sehemu husika ili uchukuliwe hatua kali za kinidhamu.

Waleeni vyema hao watoto
Fact….Nondo umetema Sana…
 
Acha upumbavu, yaan mtoto abakwe kisa tabia mbaya?

Yafunzeni tabia njema hayo matoto yenu yaliyokosa adabu kwa wakubwa wao, mitoto ya hivyo ndio chimbuko la maadili mabovu kama ushoga na ukahaba

Haiwezekan mtoto awe kero kwa wageni, kama wakubwa zako walikufunza kwa maadili nawew wafunze maadili msijikute wazungu weusi wakati mnatuharibia kizazi kijacho kutuzalishia mashoga na wasagaji.

Badilikeni, malezi ya kiafrika mtoto lazima ale fimbo za kutosha, Mafundisho ya kutosha kuhusu maisha na tabia njema, huku bakora na adhabu zikienda sambamba pale anapokosea.

Jikute kim kardashian kuwalea watoto kimarekan utakuja kuilaumu jamii miaka ijayo.

Alafu unakuta kuna Limzazi linajivunia eti alipigi fimbo watoto, kwa maajabu gani waliyo nayo, watoto ni lazima wakosee maana hawana ujuzi bado wa mambo hivyo ukiamin hawakosei na huwapi adhabu tutegemee kizazi cha mashoga, wasagaji, waizi, wavuta bangi na kila aina ya tabia chafu.

Pigeni hiyo mitoto yenu yenye tabia chafu kwa jamii.

Mimi mitoto ya hivyo ikinoboa nalitandika vibao na nakushitaki kwa kushindwa kulea mtoto ktk sehemu husika ili uchukuliwe hatua kali za kinidhamu.

Waleeni vyema hao watoto
Wewe mshenzi acha kuita watoto (mitoto) kama huna mbegu peleka hasira zako kwa madaktari na wewe upate wako uache kuweka makasiriko kwa watoto wa wenzio, kenge maji weeee,

Zee zima linaandika insha kukandia watoto wakati wenzio wanahenyeka leba wewe si ulikua unatupa mbegu chooni, punguani mjaa laana ulofeli maisha hadi hasira unawekeza kwa watoto, mijitu kama nyie mnatakiwa kua milembe hamfai kukaa kwenye jamii iliyostaarabika, bedui mkubwa weeeee.

Ptuuuuuu[emoji2961]
 
Unajua maisha wewe…embu danga…
Ungekua unayajua maisha wee mbwa usingekua unadundisha korodani zako kwenye majumba ya watu na kuchungua watoto wa wenzio, zaa wako kwanza, bedui mjaa laana weee
 
Haya mambo ya kuwasema watoto kama wakubwa wenzenu ndio inapelekea matukio ya ubakaji na ulawiti kwa watoto uongezeke, mtu mzima kama wewe kuweka ligi na mtoto hadi kufungua uzi huoni aibu!?? Kwani ukituliza korodani zako kwako huyo Junia utamuonea wapi???
Aiseeee, umeandika kitu cha hovyo kwa kweli. Sidhani kama jamaa yupo serious katika hili zaidi ya kutuchangamsha tu. Pia si kweli mambo kama haya yanasababisha ubakaji au ulawiti kwa watoto. Pamoja na mzaha wa muanzisha uzi, ila wazazi wa kileo mnatakiwa kuwalea na kuwafundisha watoto wenu miiko na maadili kwenye malezi na makuzi yao pia namna ya kuishi na watu na wageni wafikapo kwao na sio kuwaacha watoto wawe huru kama vifaranga vya kambare.

Ila samahani, we si ndio yule unayesemaga huku mwanao akikosea unamnyima kumuonesha video za katuni kwenye simu?
 
Back
Top Bottom