Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Asilimia kubwa ya majambazi, wauaji na wahalifu wapo ndani ya Jeshi la Polisi kuliko hawa tunaohangaika nao mitaaniHuyu askari anafahamika kama Majura yupo kota za ffu mombasa karibia na shule ya msingi.Nae alikuepo kwenye kikosi kinachovamia bar na bunduki kutafuta mabinti wanaojiuza. Huyu askari hua yuko chakari (kalewa) mda mwingi wa kazi na hata boss wake wa mabatini anajua na hajawahi kumchukulia hatua yoyote
View attachment 2829095