Makabila haya mtu ukifanikiwa jiandae kujaza ndugu tegemezi kwako ama kukuomba misaada kila mara, ukikataa unaonekana huna undugu

Makabila haya mtu ukifanikiwa jiandae kujaza ndugu tegemezi kwako ama kukuomba misaada kila mara, ukikataa unaonekana huna undugu

...Uongo. Wasambaa hawana Tabia hiyo! Yuko radhi akabebe matenga ya nyanya sokoni ajitegemee kuliko kukaa Kwa ndugu. Ni Mtu wa Kazi. Jiulize idadi kubwa ya wabeba mizigo Kariakoo na Wasukuma mikokoteni ni Kabila Gani....!!!
Sawaa msambaa wangu nakuelewa
 
Eti ukute Bab angu Masai afunge safari aje kumtembelea mtoto wake aliyeko dam au mkoani huwezi kuta wa kiume au wakike haipo hyo kwa wamasai
Kwenda kulala kwa mwanae haipo

Na Kam akija atalala nnje Kisha asbh ataondoka
 
Kama wasukuma hawapo kweny list yako rud kafanye utafit upya
 
hahahaa tena hawatoi taarifa yoyote, mtu anazengea mnashangaa huyo, ukiyumba kiuchumi wa kwanza kufurahi na kukusema mbaya sana, kimsingi wageni wambali sijui nani nani wanakuwa wanga, especially kama maisha yenu hamjawahi kuwa karibu huyo mlazeni gesti basi msimpe chumba
 
kuna hii tabia inakera sana kuna baadhi ya watu katika makabila flani wakishaona ndugu / kaka / dada yao katoboa ama ndugu yao wa kike / dada yao kaolewa na mtu mwenye maendeleo si haba basi huenda kujazana huko. Wanakula na kulala hapo bila kazi maalum.

Nyuma ya hii tabia hakukosekani visingizio vya oh tuna umoja, oh tunajaliana, oh sisi wakarimu, n.k lakini haibadilishi uhalisia wa hii tabia ya utegemezi. Hapa hatuzungumzii upendo au kujaliana, NO! Tunazungumzia ile tabia ya watu kujazana kwa ndugu, kaka, dada zao bila shughuli rasmi za kimaendeleo za kuwafanya nao wawe na maendeleo.

Kuna makabila kama wachaga, wakinga na wakurya hawa hawawezagi kuvumilia mtu kuja kukaa kwao awe tegemezi na wala si mgonjwa ama mzee. yaani unavyotoka huko kwenu uwe umeshatoa taarifa juu ya ujio wako, shughuli iliyokuleta, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako n.k. Kama ni kusalimiana wala hakuna shida lakini sio kuzidi mwezi.

Hali hii ya makabila yanayolimbikiza utegemezi imewafanya hata ndugu zao wanaowalea wamejikuta wanashindwa kupanga maisha yao kwa kuelemewa na gharama za ulezi wa ndugu wasiopenda kujishug. unakuta mtu kakaa hata miaka miwili kwa ndugu na ni kijana mwenye nguvu ila bado hajahama kujitaftia pake na wala hana shughuli za kimaendeleo.
Makabila haya yaayojazana kwa ndugu ni kama

. Watu wa pwani - wazaramo, wasambaa, wadigo

. Wanyakyusa - hawa huwa wanaendeleza undugu hata ule wa mbali. Yaani hata mke wa mjukuu wa baba mdogo wa babu bado anahesabiwa kama ndugu, kawaida sana kukuta mnyakyusa ana ndugu 100

Waha na Wamanyema kutoka Kigoma

. , warangi

(Niliwaweka wabena kimakosa, hawa hawamo )
Wafipa on top of the list 😀
 
kuna hii tabia inakera sana kuna baadhi ya watu katika makabila flani wakishaona ndugu / kaka / dada yao katoboa ama ndugu yao wa kike / dada yao kaolewa na mtu mwenye maendeleo si haba basi huenda kujazana huko. Wanakula na kulala hapo bila kazi maalum.

Nyuma ya hii tabia hakukosekani visingizio vya oh tuna umoja, oh tunajaliana, oh sisi wakarimu, n.k lakini haibadilishi uhalisia wa hii tabia ya utegemezi. Hapa hatuzungumzii upendo au kujaliana, NO! Tunazungumzia ile tabia ya watu kujazana kwa ndugu, kaka, dada zao bila shughuli rasmi za kimaendeleo za kuwafanya nao wawe na maendeleo.

Kuna makabila kama wachaga, wakinga na wakurya hawa hawawezagi kuvumilia mtu kuja kukaa kwao awe tegemezi na wala si mgonjwa ama mzee. yaani unavyotoka huko kwenu uwe umeshatoa taarifa juu ya ujio wako, shughuli iliyokuleta, ratiba yako ikoje, upo mpaka lini, mipango yako n.k. Kama ni kusalimiana wala hakuna shida lakini sio kuzidi mwezi.

Hali hii ya makabila yanayolimbikiza utegemezi imewafanya hata ndugu zao wanaowalea wamejikuta wanashindwa kupanga maisha yao kwa kuelemewa na gharama za ulezi wa ndugu wasiopenda kujishug. unakuta mtu kakaa hata miaka miwili kwa ndugu na ni kijana mwenye nguvu ila bado hajahama kujitaftia pake na wala hana shughuli za kimaendeleo.
Makabila haya yaayojazana kwa ndugu ni kama

. Watu wa pwani - wazaramo, wasambaa, wadigo

. Wanyakyusa - hawa huwa wanaendeleza undugu hata ule wa mbali. Yaani hata mke wa mjukuu wa baba mdogo wa babu bado anahesabiwa kama ndugu, kawaida sana kukuta mnyakyusa ana ndugu 100

Waha na Wamanyema kutoka Kigoma

. , warangi

(Niliwaweka wabena kimakosa, hawa hawamo )
Dah kumbe ndy mlivyo ndugu mulio napesa mnatuanika had mitandaon tukiwaomba kisa tumewaomba msaada 😥😥😥 dah umasikin nimbay san
 
Haooo! wakija si ndo wazuri hao!! wapeleke shamba hukooo watakusaidia kufuga kuku wako, Ng'ombe mbuzi, bata mizinga, jamani Malighafi adimu hivooo?? wape kazi hao wajengee Bwalo la kulaa double deck!

bwalo la kulia msosi!
 
Katika hali ya kawaida inaweza kuwa kero kwako lakini katika jicho la kibinadamu na kama Mungu amekujaalia kipato basi jitahidi kuwasaidia ndugu zako katika namna ambayo hutawadhalilisha au kuwakwaza...........

Zipo namna nyingi za kuwasaidia ndugu bila kugombana au kukwazana nao....kila mmoja ana jinsi yake ya kuyaendea maisha na kutafakari mambo yake......Kuna baadhi ya watu akili zao zimechangamka katika kuziona fursa na kuzifanyia kazi....lakini pia wapo watu ambao akili hazifanyi kazi mpaka ziamshwe kwa matendo au matukio ni hali kawaida kimaumbile kwani hatuwezi kufanana..........

Kama Mungu amekunyooshea mambo yako na una nafasi ya kumsaidia ndugu yako au hata jamaa yako wa karibu usisite kufanya hivyo kwa namna yoyote Ile ambayo itamfaa.........

Kweli maisha ni magumu vipato vyetu Wakati mwingine havikidhi mahitaji yetu lakini haimaanishi kuwa tuwatupe ndugu zetu.........

Wapo watu ambao ni wachache wa fadhila na wapo watu ambao ni wenye kushukuru na kukumbuka fadhila.....hupaswi kuhangaishwa na hayo kwani moyo wa mtu ni kiza kinene fanya wema wako kwa kadri ya uwezo wako.......

Mafanikio na hali nzuri za maisha zisitupe viburi na jeuri na kuona kuwa hatuwahitaji.....huo ni upofu wa fikra na ubinafsi......maisha ni kutegemeana na kusaidiana kwani hakuna mwanadamu anayejitegemea kwa kila kitu........asio kufaa kwa hili basi atakufaa kwa lile.......

Tuufanye wema kama kiunganishi na tuukatae ubaya kama utenganishi......


Ukubwa au udogo wa Dunia inatokana na wewe unavyoishi na binadamu wenzio......
Where love and wisdom prevail 👏👏
 
Wengine wasukuma hawa jamaa ni hatari ukitaka kujua panda mabasi ya Kanda ya ziwa mfano allyz zinazokuja dsm yaani yamejaa wanavijiji, mtu kapiga ndala, na pensi ya jinsi na shati lake la wiki hajafua, huko kwenye gari ni kulakula hivyo kutapika kwa kwenda mbele, hawa jamaa ninoma.
 
Ksk inatokea handeni na wenyeji wa huko ni wazigua ,tashrif na nacharo zinatokea tanga mjini wenyeji ni wadigo hapo wasambaa wanaingiaje na je mtu akishuka kwenye basi unajuaje kabila lake
 
Eti ukute Bab angu Masai afunge safari aje kumtembelea mtoto wake aliyeko dam au mkoani huwezi kuta wa kiume au wakike haipo hyo kwa wamasai
Kwenda kulala kwa mwanae haipo

Na Kam akija atalala nnje Kisha asbh ataondoka
Hujui chochote hao ndo hao ndo balaa kabisa ,mzee anakula mke wa mwanae ,anafunga safari anaweka mkuki anaingia anakuwa kama baba mweny nyumba kwa wakati anafanya mpaka zinaa na mke hata wa mwanae.
 
Wengine wasukuma hawa jamaa ni hatari ukitaka kujua panda mabasi ya Kanda ya ziwa mfano allyz zinazokuja dsm yaani yamejaa wanavijiji, mtu kapiga ndala, na pensi ya jinsi na shati lake la wiki hajafua, huko kwenye gari ni kulakula hivyo kutapika kwa kwenda mbele, hawa jamaa ninoma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Makabila yote ya Bara la Afrika yako hivyo.
Wangapi kila siku mnaomba Connection za kufikia UK, USA na South Afrika kwa Watanzania wenzenu?. Huuu ni utamaduni wa kiafrika kuuacha na kuiga Umagharibi ni suala la muda so tusilasimishe suala hili liiishe mara moja.
Huu ujinga mnaopeana hapa kwamba tusibebane ndio Maaana Watanzania hatupigi hatua Huko Ng'ambo.
Sammata hajavuta mtu EPL wala Ubelgiji, lkn angekuwa Mnigeria angewavuta kina Msuva, Manula nk lkn kwa huu ujinga mnaojazana hapa jamvini anawabania wengine, na hao wengine wanajiskia Vibaya kwenda kufikia kwa sammatta ili watafute maisha.
Hashim Thabit kamvuta nani??
Kikeke yuko BBC kamvuta nani???
Wengine wako WB, IMF Wamevuta kina nani??
Huko BOEING kuna Mnyakyusa kafanya nini kwa watanzania???
Wote hawafanyi kitu kwakuwa vichwani wamejaza UTI wa aina hii mnayodili hapa.
NENDA NIGERIA, nenda GHANA, Nenda CAMEROON akienda Rigobert Song lazima ALEX SONG naye aende na atoboe. Akienda KANU lazima aje OKOCHA.
Nenda SERBIA akienda Simba lazima aje MZUNGU na atatoboa.
Anyway: pale kwangu Kigamboni nina Wazinza kibaoooo kutoka Nkome Mchangani mpaka Kakubilo wako Daaaslam wanasaka Maisha. Wewe na Uzungu wako kazana kushupaza shingo na Umimi wako[emoji120]
Apo kwa Samatta umemkaangia sumu tu lakini kama ujui basi nakujuza Dogo Kelvin P John anakaa na Samatta uko Belgium

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Bro kaoa mhaya wanaishi sinza palestina...nyumbani kwake wamejaa shemeji zake na watoto wa wajomba wa mke wake kutika uhayani wanasoma law school. Yani majibaba mazima hua usiku yakirudi yanajaa sebuleni yakishakula hayabanduki dinning table yanavua mashati yanaanza kucheza karata yanabishana kihaya makelele kibao.

Maza alienda mara moja kero yao ya makelele watu wanashindwa kulala yani maza hajawahi kurudi tena kwa bro
 
Bro kaoa mhaya wanaishi sinza palestina...nyumbani kwake wamejaa shemeji zake na watoto wa wajomba wa mke wake kutika uhayani wanasoma law school. Yani majibaba mazima hua usiku yakirudi yanajaa sebuleni yakishakula hayabanduki dinning table yanavua mashati yanaanza kucheza karata yanabishana kihaya makelele kibao.

Maza alienda mara moja kero yao ya makelele watu wanashindwa kulala yani maza hajawahi kurudi tena kwa bro
Waambie wakakae hostel kwa dada Esta pale au dukani kwa Jon pale waache undezi
 
Back
Top Bottom