Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

Kuna kabila la wambulu? Nadhani ni wairaq unamaanisha kama sijakosea.
 
Kama wambulu umewaacha Basi hujui kuchagua , japo wambulu ni wamalaya Ila sifa ya uzuri wanayo
 
Mashokolo mageni🤣🤣..nyaki na haya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣..
 
Kwahiyo uzuri ni weupe na maji ya kunde? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipo.
 
Mashokolo mageni[emoji1787][emoji1787]..nyaki na haya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani mtoa post utakua mweusi tii unapenda vyeupe peee

Tbh warangi wanawake ni wazuri sema tabia sasa
 
Wanyakyusa wa wapi hao ndgu yangu wa mbeya au kuna wanyaki wengine??

Matako makubwa kweli wanayo ila uzuri ni 0.001%..
Wanyakyusa, wahehe, wahaya na makabila ya mbeya, iringa, kagera huko wazuri ni kutafuta kwa tochi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…