Ngatiani
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 412
- 468
Wana chura tu! Labda kwake ndio uzuri huo!Wanyakyusa hapo sikubali hata kwa ngumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana chura tu! Labda kwake ndio uzuri huo!Wanyakyusa hapo sikubali hata kwa ngumi
Hqhahaaaa uwiii. Huyu atakuwa kwao TukuyuWanyakyusa hapo sikubali hata kwa ngumi
1.Warangi
2.Wanyaturu
3.Wameru
5.Wasukuma
9.Wapare
Kuna public figure la kinyakyusa pale mjengoni daaah! Ndiyo maana naamini huyu jamaa kapika data zake!Wanyakyusa.???
You Must Be Mad...
Tena level za kwenda Milembe kabisa..
Yaani kama uchaguzi wa Kinondoni vile, jiji lenye ofisi ya IGP kabisa afu utegemee fair play....Aliyeleta post ni mnyakyusa halafu unategemea fair play!?
🙂warangi ni waajabu sana! Sura nzuri ila mguu kama tubelight!
Bondei & Sambaa.Tanga vipi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]warangi ni waajabu sana! Sura nzuri ila mguu kama tubelight!
MkuuKuna kabira namba ngapi hapo inaonyesha ni jinsi gani walivyo wengi kila insue ya kikabila wamooo Iwe sifa au dhihaka kweli welcome Tanzania na takwimu zetu kivyetu
Nice question.wazuri wa tabia au
Maneno au madera?wazaramu vp?hujui kuchagua ww!!
For sureKwenye kila kabila,kila jamii na kila rangi kuna wanawake wazuri.
NaaaaamKwanza hakuna mwanamke mbaya kwa mwanamme,inategemea unataka sampuli ipi,kwahiyo hakuna kabila baya wala zuri,wote Sawa tu
Ha ha ha ha ha ha ha haYaani kama uchaguzi wa Kinondoni vile, jiji lenye ofisi ya IGP kabisa afu utegemee fair play....
WAMBULU NA WARANGIMbulu
Mrangi
Mhaya
Msukuma
Mnyaturu
Mmakonde
Mmasai
Mhehe
Mmbondei
Mzanaki.