Makabila mengi yenye wanawake wazuri kama Wapare wanapewa sifa ya kuwa malaya kwasababu ya wivu wa kijinga

Malaya wapo upareni
 
Umeongea kweli. Kuna jamaa kaoa dada yangu. Shemeji Malaya hatari, anaomba na anakopa daily. Majuzi anataka kuazima gari eti aende nalo upareni sikukuu. Nikamuambia poa, kumkomoa nikampa range rover 4500cc. Analalama ooh gari engine kubwa mafuta nitatoa wap
 
Anawaomba pesa?
 
Ukiona mwanamke anatongozwa sana siyo mzuri Bali ni

Cheep sana, mwanamke asiye cheep Huwa anamezewa mate tu kama vile mwanaume asiye cheep.
 
Wapare ni malaya
 
Wakuu huu utafiti mmeufanyia wp mbona tunaoishi dar tunaona wazaramo na wamakonde ndye wnywe kwnye kugawa utamu na kutmbeza dozi.....!! Hizi mambo hazjawah kumuacha mtu
Umalaya hauna asili wakuu kuna jamaa zangu nmeskuli nao moshi wachaga asee jamaa n malaya mpka was was nkawa naskia mm.....!! Yan tuposhule wnatiana kias kile na wadada w mtaani nkasema haw wakimalza mungu awasaidie tu ila shangaa awalijui hata gono lina rangi gan ila wnatiana kama wnawazmu..!!
Huu umalaya ni tabia bnafsi yan halihusiani na kabila wengne watawaja wahaya leo naskia wapare duh
Mim mpare wakuu ila USANGI kwetu hzo mambo zko chichin mno udini mwngi sio kama huku dar kwa wazaramo
 
Nyie wapare mna ubahili wa kijinga jinga halafu mnapenda miteremko hata kama ni wanaume.
 
Malaya wapo kila kona.

Wahaya ni wabaya ila wanaongoza kuwa Mamalaya
Wahaya ni Wabaya???

Mimi sio Mhaya ila Wahaya wengi wazuri...wana ngozi nyeusi laini inayoteleza na figure ipo
 
Absolutely true
 
Wabena ni wabaya kupita maelezo ila ukimwi ndio umejaa NJOMBE
 
Wanawake wakipare n watamu bhna asikwambie mtu bhana ..

Wanafaa sana Kwa zile show za usiku mmoja ..
Wapare Watamu ndio acha uoga chukua jumla kama kugongewa utagongewa tu labda uoe msukule
 
Wapare kwa ujumla sio Watu wa kusikiliza maneno ya Watu Wajinga na watu wasiojiamini au wenye roho za chuki kisa tumewazidi mambo nyeti ambayo hayanunuliwi kwa pesa.
Kuna jamaa alinipiga biti akiniambia nisiwasogelee Wanawake wa kingoni nikamuuliza kwanini akanijibu ni WAHUNI kuanzia hapo nikaanza kucheza nao mbali sana, sasa Wapare kweli ni wazuri Ila kwa maelezo ya mtu mmoja anakwambia yasiyo ya ukweli wapo Wapare waaminifu sana kwenye Mahusiano na ndio tumetoka kuchukua Jiko upareni huko
 
Mk
Mkuu we kabila gani ili tukupe na madongo yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…