ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ukirundu!! Nivwira ikabila lako!Muathu aniovoe mi wedi huvu...!
Netha nithakae...
Thienda, ambu petha javo vetaria eitako [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ukirundu!! Nivwira ikabila lako!Muathu aniovoe mi wedi huvu...!
Netha nithakae...
Thienda, ambu petha javo vetaria eitako [emoji1787][emoji1787]
Goma lisiwe toka upareni tenaPole sana mkuu, tafta goma lingine maisha yaendelee
Umenichekesha🤣🤣Bora wanyaturu tumepumzishwa, kijiti kimepokelewa upareni 😀
Naunga mkono hoja, makabila yote yenye wanawake wazuri “kwa vigezo vya kipindi hiko” tumebandikwa na sifa mbaya ya umalaya . Swali ni je kabila gani halina malaya? Malaya wapo hadi pemba, samaleko 😀
Mi ni mbare [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukirundu!! Nivwira ikabila lako!
Kama yamechukuliwa na wanawake wa kipare tujue.Nataka kujua matrillion yaliyotajwa na CAG yameenda wapi?
Wanawake wa kipare siyo malaya hata mimi nakubali ila ni rahisi kutoa wanachoombwa kwa wanaume. Yaani siyo wagumu. Nadhani (sina uhakika) kuna sehemu za upare zenye wanawake rahisi kutoa na kuna maeneo yenye wagumu kweli kweli.Hakuna kitu kama hicho.
Wewe Binamu zako afuatwe na Wanaume 100 alafu ufananisho na mtu anayefuatwa na watu watano mwaka mzima
Kuna Hawa wapare wa Same, wao panga moja mbuyu chini, ndo wanaharibia wapare sifaWanawake wa kipare siyo malaya hata mimi nakubali ila ni rahisi kutoa wanachoombwa kwa wanaume. Yaani siyo wagumu. Nadhani (sina uhakika) kuna sehemu za upare zenye wanawake rahisi kutoa na kuna maeneo yenye wagumu kweli kweli.
Yaani unavyotupondea binti zetu ujue unazingua sana!Kuna Hawa wapare wa Same, wao panga moja mbuyu chini, ndo wanaharibia wapare sifa
Kaka naacha sirudii Tena [emoji1787][emoji1787]Yaani unavyotupondea binti zetu ujue unazingua sana!
Mbona wangoni wapo na hatuwasemi tumetulia na kuwastahi🤣Kaka naacha sirudii Tena [emoji1787][emoji1787]
😍😍😍Ila jamani nawezaje kukapa haka ka beutiful soul makande?si kanaweza omba kawekewe mayonise??🤣Hahahahah hivi kweli haka ni ka kukanyima kande? 🤣
View attachment 2804621
mara moja moja bwana kaka nae ale vyanyumbani,kuna pressure cooker nitamwambia kaka akununulieAaah wifi bwana makande watakula liziko walienda huko kwenu milimanj huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza Huo muda wa kuyapika ni kipengele
[emoji86]Demu wa kipare ilimradi tu mjuane majina ukimshika mkono ukamvuta wala hajui kukataa unaenda kujipigia
[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukirundu!! Nivwira ikabila lako!