Makabila mengi yenye wanawake wazuri kama Wapare wanapewa sifa ya kuwa malaya kwasababu ya wivu wa kijinga

Makabila mengi yenye wanawake wazuri kama Wapare wanapewa sifa ya kuwa malaya kwasababu ya wivu wa kijinga

Kwema Wakuu!

Acheni wivu! Yaani mkiona Watu wamebarikiwa jambo fulani roho mbaya zenu mbaya hazitulii. Wivu na maumivu moyoni yanawachoma. Mnaanza kuropoka mashudu yenu.

Mkiona mdada mzuri tuu mnaanza kumpa majina Mabaya. Kisa anatongozwa na Wanaume wengi. Utajiri wa mvuto wa kisura na kimaumbile haihusiani na tabia ya umalaya.

Makabila yenye wanawake wazuri hapa Tanzania imekuwa kawaida kuwahusisha na Umalaya lakini ukichunguza vizuri unakuja kugundua ni Wivu tuu. Kwa mfano Makabila kama Wambulu(Wairaq), Wanyaturu na ndugu zao Wanyiramba, Warangi wote hao ni makabila yènye wanawake wazuri na wanahusishwa na Umalaya jambo ambalo sio Kweli.

Wanawake wa Wapare wapo top five ya wanawake wazuri hapa Bongo, na Kwa wanaume wao wapo top 3 ya wanaume wazuri hapa Tanzania. Hiyo ukubali au ukatae. Upareni kukutana na Handsome boy sio jambo la kushangaza kwa sababu wapo wengi. Kukutana na Wanawake wazuri sio suala la ajabu.

Tabia hiyo pia ya roho mbaya imehamishwa kwenye mambo ya kiuchumi. Makabila yenye Mafanikio ya kiuchumi kama Wachagga, Wakinga, au Wapemba hupewa majina Mabaya kama wizi, ujambazi, ufisadi na uchawi. Acheni wivu.

Huwezi kuoa mke mzuri asitongozwe na wanaume. Kwa sababu wanaume wanapenda wanawake wazuri. Wewe kama kipimo cha kutotongozwa kwa mkeo ndio kutokuwa malaya basi elewa kuwa mkeo hana mvuto, sio mzuri na hana la maana.

Upande wa pili, huwezi kuwa na Mwanaume Handsome boy au mwenye uchumi alafu wanawake wenzako wasimsarandie. Haipo hivyo. Ukiona mumeo yupoyupo tuu na hakuna Mwanamke hata mmoja anayemtaka ujue hapo hakuna kitu. Umepoteza.

Wanawake wa kipare wanajiamini, hawataki kuonewa, hawataki unyanyasaji wa kijinsia kwa Jina la Mfumo dume, wapo radhi wabadilishe wanaume hata elfu moja ikiwa tuu wanapata Wanaume Mabwege wasiojitambua.

Wanawake wa kipare au kichaga, kama unapenda kwenu lazima upende na Kwao. Kuhusu ufupi nyundo ni sifa yao pia, lakini pia wapo Warefu hasa wanaôtokea Upareni kaskazini maeneo ya Mwanga.

Wapare kwa ujumla sio Watu wa kusikiliza maneno ya Watu Wajinga na watu wasiojiamini au wenye roho za chuki kisa tumewazidi mambo nyeti ambayo hayanunuliwi kwa pesa.

Povu Rukhs
Mimi ni mtafuta riziki na nimejiajiri.
Katika mishe zangu, nimeishi Mwanga, nimeishi kihurio, nimeishi hedaru, nimeishi Ndungu. Sipendi kuweka wazi hapa ila hawa ndugu zako wanahitaji maombi
 
Ila mkuu nilisoma pale same boys , wapare watani zangu ni maharage ya mbeya kinyama , ukipita masandale wale watoto utakao wakuta wanavuta bangi ni wakwetu mkuu.
 
Ila mkuu nilisoma pale same boys , wapare watani zangu ni maharage ya mbeya kinyama , ukipita masandale wale watoto utakao wakuta wanavuta bangi ni wakwetu mkuu.
Ulisoma enzi zipi Mkuu? Mlikua bado mnafuata maji Steshen?
 
Noma ,tulisoma kipindi punje anachoma shule pcb 1 sisi ndio tulichora tatoo ya mkono kwa kinyesi agrey dom
Masandare kule wake za watu walikoma. Miaka ya 1991-1994 Kuna mwanafunzi (anaishi Shaban Robert) alikua ana hela anakula mke wa Headmaster kila weekend kwenye gest pale karibu na posta same mjini
 
Masandare kule wake za watu walikoma. Miaka ya 1991-1994 Kuna mwanafunzi (anaishi Shaban Robert) alikua ana hela anakula mke wa Headmaster kila weekend kwenye gest pale karibu na posta same mjini
Wewe ni kipind same boys wapo mademu?
 
Masandale pale karibu na shule ya msingi niisht,, ,,,, mbea mtoto wa kandoto girls kwenye kichaka , matr., , ko yake yakajaaa mchangaa🤣🤣🤣
Ha ha ha. Sisi kila jumamosi tulikua tunawekewa video (ya kulipia) pale Bwaloni Sasa wengine ndo tunazama kitaa kwenda kumwaga upwiru
 
Kwema Wakuu!

Acheni wivu! Yaani mkiona Watu wamebarikiwa jambo fulani roho mbaya zenu mbaya hazitulii. Wivu na maumivu moyoni yanawachoma. Mnaanza kuropoka mashudu yenu.

Mkiona mdada mzuri tuu mnaanza kumpa majina Mabaya. Kisa anatongozwa na Wanaume wengi. Utajiri wa mvuto wa kisura na kimaumbile haihusiani na tabia ya umalaya.

Makabila yenye wanawake wazuri hapa Tanzania imekuwa kawaida kuwahusisha na Umalaya lakini ukichunguza vizuri unakuja kugundua ni Wivu tuu. Kwa mfano Makabila kama Wambulu(Wairaq), Wanyaturu na ndugu zao Wanyiramba, Warangi wote hao ni makabila yènye wanawake wazuri na wanahusishwa na Umalaya jambo ambalo sio Kweli.

Wanawake wa Wapare wapo top five ya wanawake wazuri hapa Bongo, na Kwa wanaume wao wapo top 3 ya wanaume wazuri hapa Tanzania. Hiyo ukubali au ukatae. Upareni kukutana na Handsome boy sio jambo la kushangaza kwa sababu wapo wengi. Kukutana na Wanawake wazuri sio suala la ajabu.

Tabia hiyo pia ya roho mbaya imehamishwa kwenye mambo ya kiuchumi. Makabila yenye Mafanikio ya kiuchumi kama Wachagga, Wakinga, au Wapemba hupewa majina Mabaya kama wizi, ujambazi, ufisadi na uchawi. Acheni wivu.

Huwezi kuoa mke mzuri asitongozwe na wanaume. Kwa sababu wanaume wanapenda wanawake wazuri. Wewe kama kipimo cha kutotongozwa kwa mkeo ndio kutokuwa malaya basi elewa kuwa mkeo hana mvuto, sio mzuri na hana la maana.

Upande wa pili, huwezi kuwa na Mwanaume Handsome boy au mwenye uchumi alafu wanawake wenzako wasimsarandie. Haipo hivyo. Ukiona mumeo yupoyupo tuu na hakuna Mwanamke hata mmoja anayemtaka ujue hapo hakuna kitu. Umepoteza.

Wanawake wa kipare wanajiamini, hawataki kuonewa, hawataki unyanyasaji wa kijinsia kwa Jina la Mfumo dume, wapo radhi wabadilishe wanaume hata elfu moja ikiwa tuu wanapata Wanaume Mabwege wasiojitambua.

Wanawake wa kipare au kichaga, kama unapenda kwenu lazima upende na Kwao. Kuhusu ufupi nyundo ni sifa yao pia, lakini pia wapo Warefu hasa wanaôtokea Upareni kaskazini maeneo ya Mwanga.

Wapare kwa ujumla sio Watu wa kusikiliza maneno ya Watu Wajinga na watu wasiojiamini au wenye roho za chuki kisa tumewazidi mambo nyeti ambayo hayanunuliwi kwa pesa.

Povu Rukhsa!
Duh 😄
 
Upareni kote Sera ni umalaya. Enzi hizo HEDARU ndo ilikua makao makuu ya Umalaya - Malori yanaweka kambi hapo kila gesti imejaa Malaya wa kupigwa miti
 
Ha ha ha. Sisi kila jumamosintulikua tunawekewa video (ya kulipia) pale Bwaloni Sasa wengine ndo tunazama kitaa kwenda kumwaga upwiru
Ila same boys miaka ile tulikua na akili ya shule kinyama ,japo tulikua wahuni , sijui watoto wa saivi wamekumbwa na nini ? Mlikuta gari la samsoni😁😁
 
Ila same boys miaka ile tulikua na akili ya shule kinyama ,japo tulikua wahuni , sijui watoto wa saivi wamekumbwa na nini ? Mlikuta gari la samsoni😁😁
Mkuu miaka ya 1991-1994 ndo magari yalikuwepo shule nyingi za Serikali. Samson (Isuzu injection) lilikua jipya
 
Back
Top Bottom