NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Dunia imepuga hatua kwenye nyenzo za utabibu kwenye kutahiri na hakuna mantiki ya kutumia mbinu za zamani zenye maumivu makali bila ganzi.
kuahiri kwa kisu kwa zama hizi ni kama kuhangaika kutafutana majumbani wakati yupo zama za simu za mikononi.
Hayo mambo ya kutahiriwa bila ganzi yaachwe na ikiwezekana serikali ipige marufuku maana ni unyama.
Yani kinachofanyikaga ni ushamba aisee, mvulana anatahiriwa na kisu kikali na kuna muda yule anaetahiri anafanya zoezi taratibu sana ili tu kijana apate maumivu makali, na hapo mvulana anaetahiriwa sharti inabidi asilie wala kuguna,
Hayo mambo ya kutahiriwa kuonesha ushujaa yalishapitwa na wakati, siku hizi mwanaume anapimwa heshima yake kwa pesa aliyonayo iwe anafanya biashara au kazi inayomlipa poa au vyote, mbali na pesa heshima ipo kwenye kushika power katika vyombo vya dola na humu kwa kiasi kikubwa tiketi ya kuingia ni elimu sio kutahiriwa.
kuahiri kwa kisu kwa zama hizi ni kama kuhangaika kutafutana majumbani wakati yupo zama za simu za mikononi.
Hayo mambo ya kutahiriwa bila ganzi yaachwe na ikiwezekana serikali ipige marufuku maana ni unyama.
Yani kinachofanyikaga ni ushamba aisee, mvulana anatahiriwa na kisu kikali na kuna muda yule anaetahiri anafanya zoezi taratibu sana ili tu kijana apate maumivu makali, na hapo mvulana anaetahiriwa sharti inabidi asilie wala kuguna,
Hayo mambo ya kutahiriwa kuonesha ushujaa yalishapitwa na wakati, siku hizi mwanaume anapimwa heshima yake kwa pesa aliyonayo iwe anafanya biashara au kazi inayomlipa poa au vyote, mbali na pesa heshima ipo kwenye kushika power katika vyombo vya dola na humu kwa kiasi kikubwa tiketi ya kuingia ni elimu sio kutahiriwa.