kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,875
Kwa jinsi wanavyo piga wake zao, eti wakati wa kutongoza wanabeba visu, mapanga, nyundo ukiwa wakataa wanakumaliza hapo hapo
Nu mwirege wa kijiji ke oleSisi wairegi tunatokea maeneo ya makutano, bukabwa mpaka kiagata tunaruhusiwa kuoa binamu zetu.
ndivyo ilivyo, narudia tena ndivyo ilivyo.Haya bhana ila mpe jibu mtoa mada aliye zaliwa mjini kama wewe ila anafahamu kwamba "Binamu wa Kikurya wanaruhusiwa kuoana"!
Mila ya mwanamme kuoa mwanamme mwenzake ndo nimesema hawanamila ipo ila kwa namna ya tofauti, kuwa yule aliyeolewa anatafuta mpenzi yeyote tu anapewa ujauzito halafu mmiliki wa watoto anakuwa mama mwoaji
kwa jina maarufu aliitwa MWITA WABHAKIRA (alitokea koo ya Wakira katika kabila la Wakurya yaani koo moja na JOHN HECHE, mbunge wa wilaya ya Tarime vijijini, alikuwa mkuu wa komandi mojawapo kwenye VITA YA UGANDA, ngoja nitapost mada inayomhusu kwenye INTELLIGENCE FORUM.Alifanyaje?
Mada iliyopo mezani ni mila na desturi za wakurya kama una lako jambo hukatazwi kuanzisha uzi na kuzungumzia kabila jingineNawachukia watz, hadi mwenyewe.
Mbona kuna makabila ya wala watu hayasemwi? Wengine humu ndo wanaongoza kwa ujambazi lakini wanayaona ya wakurya tu
Kichuri ni mboga?, hebu uliizeni mengine c kujifanya wajuvi hata kwa mnayoyasikia.
acha jazba zisizokuwa na maana hapa tunaelimishana tu, sasa wewe hapo umeandika nn?
Kama una ng'ombe tatu huchapwi
Kimila tunaamini aliyetoa mahali(ng'ombe) ndio mmiliki wa hao watoto hata kama walizaliwa nje ya ndoa.Hivi kama mwanamke anazaa nje na bado ukamkubali mtoto anaezaliwa kuwa niwako hapo wivu uko wapi?
Wivu mnaujua ama mnaongea tu. Binafsi wivu sina ila roho huwa inauma
Nasikia kabila lenu ni maarufu kwa kujambajamba sana.Mada iliyopo mezani ni mila na desturi za wakurya kama una lako jambo hukatazwi kuanzisha uzi na kuzungumzia kabila jingine
Na vipi kuhusu kuoa binamu mtoto wa shangazi na mjomba?
ukweli utakuweka huru, na ukweli ni kuwa wakurya wanaoa binamu, watoto wa shangazi na mjomba, isipokuwa tu hawaruhusiwi kuoa binamu, mtoto wa mama mdogo au mkubwa.Kny koo yetu hatuoi
Acha kudanganya watu jinga we, kama kitu hukijui kaa kimya. Mjita na Mkwaya tangu lini akawa jamii ya Kikurya? Au kwa kuwa unawaona wapo mkoa wa Mara? Haka karisya ni ka khangii[emoji35] [emoji35]Ni kabila zima na pia naona hata kwa Waruri, Wajita, Wakwaya, Wahacha,Wasweta,Wasurwa, Wasimbiti n.k pia hufanya hivyo na nami nawaunga mkono kwa kuwa ni jambo jema.
Mbuya mura,
Baryisia= Abharisya
Basaghani = Abhasaghane
Mtaiya= Motaya
Kibharaa = Kebhara
pale masurura ndiyo bush kwetu mura.Nu mwirege wa kijiji ke ole
In box plz
Kama unajua changia sio kuja kutoa povu baada ya kuichunia mada. Ni mboga ndio kwa ugali wa mtama au udaga. Wewe unataka kusema ni kinywaji hicho?
Ukioa kama ukienda kutembea ukweni na mkeo kama hana kovu la Je raha ulilomsababishia unarudishiwa mahari yako