Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
Maneno ya walimwengu hayo, hakuna kitu kama hicho kama kilikuwepo sikuwahi kukiona wala kusimuliwa na wazazi wangu.Aiseee,
Hii mbona kama kuwekea ng'ombe alama jamani Duuuh
HahahaaaAcha kudanganya watu jinga we, kama kitu hukijui kaa kimya. Mjita na Mkwaya tangu lini akawa jamii ya Kikurya? Au kwa kuwa unawaona wapo mkoa wa Mara? Haka karisya ni ka khangii[emoji35] [emoji35]
Wanawake wanaoa wanawake wenzao.
Vipi wanaume, nao wanaoa wanaume wenzao?
Nakuambia, Faiza, wanaume wa kikurya hawafanyi huo uchizi wa wazungu na Obamalization .
Akikuambia, ntu kuwa huyu ni mkurya na anafanya hivyo hebu fatilia vizuri chimbuko lake utakuta siyo mkurya halisi huyo.
Kwa.hiyo Obamalization kwa wakurya nasikia kuwa ni mwiko .
Na akijulikana huyo shingo yake ni halali ya panga.
Ahsante.
Mwanaumme ndio anaeoa kwa niaba ya Mwanamke (Mamamkwe) na Watoto wanaozaliwa wanabaki kuwa wa kwenye Ukoo huo. Hiyo inaitwa "Nyumba ntobuh"Wanawake si wanaoana wenyewe kwa wenyewe?
Nasikia siyo kuoana kama ndoa ya Mme na mke ila ni ishara tu kuwa huyo mke anamilikiwa.na mama Fulani japo aliyeolewa anakuwa na mwanaume wa kuishi naya japo watoto wanakuwa wa huyo Mama.Wanawake si wanaoana wenyewe kwa wenyewe?
Na mimi kwetu masururapale masurura ndiyo bush kwetu mura.
duh!mkuu,huenda wewe ni ndugu yangu.ebu ukuje PM.Na mimi kwetu masurura
bora umemuuliza maana kama hata hajui kutofautisha ukabila na utaifa hata ukimweleza tabia zao hataelewa pia.Wanyarandwa ndio kabila gani?
Wife material mambo?[emoji1][emoji1][emoji1]"wafe material" ndo nini?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] watani zangu maskiniWakuu naomba wenye ufahamu wa wanawake wa rombo anijulishe tabia nzuri walizonazo, tabia zisizofurahisha walizo nazo na je ni wafe material. Naombeni msaada
Ohoooo!!!moja ya sifa ninayowajua wanayo ni ubahili, yaani wako kama wapare kwa uchungu wa pesa.