Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Hivi Dada zake kilaza mkuu bashiiiiiite wana tabia gani ??
 
Wakuu naomba wenye ufahamu wa wanawake wa rombo anijulishe tabia nzuri walizonazo, tabia zisizofurahisha walizo nazo na je ni wafe material. Naombeni msaada
wanapenda kwenda Kenya kutafuta ma bwana maana waume zao ni walevi,wakienda na ndizi hawarudi
 
Kwani ulikuwa kipofu mdogo wangu?
Hihih[emoji12] [emoji12]
Wife material mambo?[emoji1][emoji1][emoji1]

[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] watani zangu maskini

Ohoooo!!!

Sasa ukishajua sifa zao,ziwe nzuri au mbaya zitakusaidia nin labda?
We kama unataka kumuacha mtu muache in good ways,upuuzi wa kusema sijui huyu mchaga au mkurya hafai hauna maana kwenye dunia ya watu waliostaarabika.

Ikitokea nataka kuoa mchaga nitaoa MROMBO au MU OLD MOSHI

wengine wote hawafai, wana roho mbaya, halafu wezi.

Wafe material ni gia box ya fiati
 
Warombo hawachepuki hovyo ila vifua baada ya kujifungua iko kazi
 
Daah kupenda wanajuwa sema wabovu hao kitandani kama gogo afu huwa wanajamba sana usiku
 

Umewaoverrate,pia wana Madudu yao mengi sana.Usisahau ni walevi sans hasa wale wa Useri,usisahau ushirikina
 
Acha kabisa wanafanya kazi hadi wanasahau kuoga.
Ni kweli kabisa, kuiga sio kipaumbele kama kazi

Yaani huwezi mkosa mama wa kirombo na mundo mkononi, anaenda nayo hadi kanisani anaweka chini ya kiti.
 
Reactions: BAK
Kabila halina tabia, Wala tabia haina kabila.
Kila mtu ana tabia zake bila kujali kabila alilotoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…