Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

Takwimu hizi huenda hazijafanyiwa utafiti wa kutosha maana kuna makabila mengine yamepewa wasifu usio wenyewe, mleta thread fanya utafiti wa kina.

Mpinge, umebisha kuwa jamii ya wachaga haina wasomi wengi? Bila shaka hujafatilia vizuri historia ya elimu TZ. Wakazi wa Kilimanjaro wamejaliwa kusomesha watoto wao! Wengi wameenda shule, tena kwa kiwango kikubwa. Huwezi kulinganisha wachaga waliosoma na makabila mengine.
Kuhusu utafiti, hili ni suala ambalo linajadiliwa na hata ukifika maofisin unaweza kuliona.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Eroh!! na sisi Wamasai utatuweka kabila gani?

kuna wagogo mjomba niwavivu nao sijawahi ona mtu anaona bora alale au aombe kuliko kufanya kazi ww fikiria hii...barabara nyng zinazojengwa dodoma vibarua wanatoka mwanza,shinyanga na dar ila co dodoma kisa m2 anaona elf 5 kwacku ndogo bora aombe buku.
 
platozoom, ee bwana nakaa mbali na wewe.

Usikae mbali na mimi, miye na tabia tamu kama asali. Kwani kustuliwa kwa kofi moja ndo nini bana
kitu kidogo tu.

BTW Unajua kulee kuna kijiti cha maana.Halafu ukitaka kujua ubora wake mpaka tuna-export!!
Vipi utastua? ila uwe makini usije ukapanda mnazi!!!
 
acheni umburula ww hizo takwimu umeokotea wapi au ulikosa cha kufanya, then take care kwani presider ni kabila gani.... W vp?
 
Usikae mbali na mimi, miye na tabia tamu kama asali. Kwani kustuliwa kwa kofi moja ndo nini bana
kitu kidogo tu.

BTW Unajua kulee kuna kijiti cha maana.Halafu ukitaka kujua ubora wake mpaka tuna-export!!
Vipi utastua? ila uwe makini usije ukapanda mnazi!!!
Hahahaaaaaa, kofi la wapi platozoom? usije ukaniharibu reception nisiparw mwingine.
Kijiti nimeacha bana. Mie mama sasa hivi.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaa, kofi la wapi platozoom? usije ukaniharibu reception nisiparw mwingine.
Kijiti nimeacha bana. Mie mama sasa hivi.

Umeacha nini Mama, mara moja kwa mwaka si mbaya...Haiponyi ila inarudisha hadhi yako, jasiri haachi asili ati!
Siku shem akikuzingua we piga funda moja utaona ni mdogo kama piriton halafu unampotezea! lets go
 
Back
Top Bottom