enock yusto
JF-Expert Member
- May 28, 2014
- 377
- 341
Ivi goodluck gozbet ni msukuma au katokea mwanza tu au ni mzinza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema ukweli wako-Sugu anaitwa Joseph Mbilinyi kijijini kwao ni Maweso Ruvuma,Jux-Juma Mpolopoto kakulia Dar ila kwa baba ni Morogoro haya nipe ukweli wakoUongo
Kuwa Morogoro hakumfanyi awe mpogoro maana Moro kuna makabila mengi sana sio wapogoro peke yaoSema ukweli wako-Sugu anaitwa Joseph Mbilinyi kijijini kwao ni Maweso Ruvuma,Jux-Juma Mpolopoto kakulia Dar ila kwa baba ni Morogoro haya nipe ukweli wako
Jide ni mzanakiJide Ni mkurya?
kelphin kepph
Unachobisha Ni kip mkuu
Ok, mtu anafuata kwa nani baba au mama??Kabila ni zaidi ya nasaba. Kuna utamaduni, lugha n.k
[emoji1787][emoji1787]Mbona anaonekana kama ni (Yego orriented?) maana Musoma kuna viukoo vingi wanavyoviita kabila lakini kimsingi ni makabila 3 tuu.
1. Wajaluo.... hawa wao wamejipambanua na hawana matabaka
2. Kuna kundi na akina MURA AMBAO wana vitofauti vidogovidogo lakini wnasikilizana
3. Kuna kundi la akinna WACHASUGU AMBAO NI yegos ambao mzizi wao nio wajita na wakerewe so sio kila anayetoka muzoma ni mkurya
Alikuwa mwanafunzi au?Miaka ipi hiyo?
Ulisoma na yule binti aliyekuwa na tatizo la kugawa kila jioni ikifika nyuma ya container hachagui na alikuwa hatosheki
Anafuata la mahali alipozaliwaOk, mtu anafuata kwa nani baba au mama??
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Kachanganywa na mheheYeah Samatta ni Mzaramo though ana.muonekano kama mndengereko au Mngindo vile
Shilole _mnyamwezi
Jose mara _mnyamwezi
Wema _mnyamwezi
Mobetto _mnyamwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Makofi Kwa Kigoma tafadhali
Umechanganya Baba yake n mchaga anaitwa Emanuel elibariki Munisi ...mama yake ndo mnyakusa
Diamond mama yake ndio wa kigoma, Baba aliwemwaga mbegu ni mzaramo mkuu!!Kigoma boss,Diamond,Alikiba,Kaseja,Rashid juma,Muzamuri Yassini,Chege,Baba levo,Mzee Majuto,Salum kanoni,Said Swed,Mwasiti,Baruani Muhuza,wote hao
Sent using Jamii Forums mobile app
G-nako mtu wa singida Kat ya mnyiramba au mnyaturuGnako ni mpare
Si kweli, baba mchaga mama mchaga, mtoto amezaliwa mtwara ndio atakuwa mmakonde? Waza vizuri kisha wazua, mtoto asili hufata kwa baba. Hata kama baba mpare mama mmakonde, mtoto atakuwa mpare tu!Anafuata la mahali alipozaliwa