Makabila yanayoendana wakioana na ndoa ikadumu

Makabila yanayoendana wakioana na ndoa ikadumu

Mchaga na Mhaya wanatoa combination nzuri sana ya familia. Hata kwenye biashara Mchaga na Muhaya wakiendana wanatoa kitu kimekamilika mfano JF hii ya Maxence Mello na Mike Mushi, Clouds ya Rugemalira Mutahaba na Joseph Kusaga.

Kusaga ni mjita
 
Mchaga na Mhaya wanatoa combination nzuri sana ya familia. Hata kwenye biashara Mchaga na Muhaya wakiendana wanatoa kitu kimekamilika mfano JF hii ya Maxence Mello na Mike Mushi, Clouds ya Rugemalira Mutahaba na Joseph Kusaga.
Wachagga hawaprndi kuwa controlled ndio maana wengi wanabiashara zao na miradi yao...au wanasoma kuclimb leader haraka...ukiwakuta kwenye hiyo combination ujue ni very beneficial mzee...
 
Sina maana ya ukabila ila elimu ndogo kwenye mambo ya mahusiano unapaswa kuzingatia.

kuna baadhi ya makabila yakioana ndoa huwa n


a furaha na kudumu zaidi. Hii inatokana na utamaduni na dini/imani wengi wa kabila fulani kuwa na vitu ambayo vinafanya mtu wa kabila lingine kufurahishwa nao kulingana na matakwa ya tamaduni yake.
Utafiti huu unaleta matokeo kwa asilimia kubwa lakini siyo mara zote itakuwa hivyo kwani inaweza kuwa kinyume chake.

Makila yanayoendana Kuoana
Mkurya na Mrangi, msingida, mpwani .

mchaga na mrangi, msingida, masai, mbulu, tanga.

hehe na mrangi, ngoni, manda, nyasa, tanga, chaga.

sukuma na mgogo, nyamwezi, kurya.

mmakonde na kurya, ngoni.

mnyakyusa na chaga, kinga, bena.

muha na mrangi, pwani na tanga.

muhaya na sukuma, nyamwezi .

mpare na mrangi, singida na tanga.
NB. jina la mkoa maana yake makala yote ya mkoa huo.

sandawe na makabila yote isipokuwa Zenji, singida na Dodoma.

Makabila Ambayo hayaendani kabisa.
mbara na mzenji.
mgogo na hehe
mkurya na mngoleme, mhehe
mchaga na mpare.
masai na mbulu/Iraqwi
chaga na gogo
haya na chaga, kurya, gogo.

Zingatia ushauri huu atakama nimewasilisha kama na ruka kichurachura ila jitahidi kuelewa.
Sawa mrangii
 
Sababu ni ipi
Wachaga vs wanyakyusa

Hizi ndoa wazazi wakinyakyusa wanazipinga sana ....mtoto wao kuoa au kuolewa na wachaga ..........nadhani sababu inajulikana

Hata Mimi nikiwa mzazi.....ntakataa hizi ndoa
 
Mkuu embu nipe abcd la hili kabil la wandali au wanyia wa songwe Ni watu wanamna gani Hawa mnk Niko natak kufanya decision making nimpe nafsi au niingie mitini tu
 
Wachaga vs wanyakyusa

Hizi ndoa wazazi wakinyakyusa wanazipinga sana ....mtoto wao kuoa au kuolewa na wachaga ..........nadhani sababu inajulikana

Hata Mimi nikiwa mzazi.....ntakataa hizi ndoa
😅😂
Inshort haya makabila matatu
Wanyakyusa Wachaga Wahaya, wakioana inakua vurugu mechi, by nature wote wana Superiority Complex (Hali ya kujiona bora kuliko mtu mwingine).
Ndoa za namna hii wengi wanaishi kwa machale, utakuta kilamtu anajenga kwao au sehem kisiri siri, au kuanzisha miradi bila kumjulisha mwenza...
 
Mkuu embu nipe abcd la hili kabil la wandali au wanyia wa songwe Ni watu wanamna gani Hawa mnk Niko natak kufanya decision making nimpe nafsi au niingie mitini tu
Hawana shida hao watu from Mbeya huko, wapole wasikivu waelewa hawana makuu...
Shida ipo kwa ndug zao Wanyakyusa wapole wasikivu ila hawapendi kujishusha au kuchukuliwa poa poa, wana amini wanaweza kilakitu awe mwanamke au mwanaume hawajui kumtetemekea mtu
 
Kuna Mlugulu na Mzaramo hapo ni Gundi na Karatasi.

Kuna Mkurya na Mnyakyusa baba hapo ni Chuma na Sumaku.

Kuna Mnyamwezi na Mngoni baba hapo ni Upele na Mkunaji hatoboi mtu.

Kuna Ile ya MUHA na Mhaya hapo ni V8 na Diesel hapindui meza

Na kuna ile ya MCHAGA na mme Tajiri hapo ni kama kusukuma mlevi mkuu.
wahaya hatuwezi penda watu wa hovyo

Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom