TANZANIAN NINJA
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 456
- 534
- Thread starter
-
- #21
nimeeleza ukiona jina la mkoa maana yake makiba yote ya mkoa huoMsingida ndiyo kabila ipi hiyo? Maana makabila makubwa Singida ni Wanyaturu na Wanyiramba sasa sijui umelenga yupi kati ya hao?
Mchaga na Mhaya wanatoa combination nzuri sana ya familia. Hata kwenye biashara Mchaga na Muhaya wakiendana wanatoa kitu kimekamilika mfano JF hii ya Maxence Mello na Mike Mushi, Clouds ya Rugemalira Mutahaba na Joseph Kusaga.
Acha masikhara miaka yote najua ni Mchaga. Nililishwa uongo siku nyingiKusaga ni mjita
Wachagga hawaprndi kuwa controlled ndio maana wengi wanabiashara zao na miradi yao...au wanasoma kuclimb leader haraka...ukiwakuta kwenye hiyo combination ujue ni very beneficial mzee...Mchaga na Mhaya wanatoa combination nzuri sana ya familia. Hata kwenye biashara Mchaga na Muhaya wakiendana wanatoa kitu kimekamilika mfano JF hii ya Maxence Mello na Mike Mushi, Clouds ya Rugemalira Mutahaba na Joseph Kusaga.
😅😅😅😅🧢Sasa kajichanganye tuone nani ni wakusikitikiwa Mimi au wewe.
Nijichanganye kivip, mimi kuoa nishaoa na sikuzingatia huo upuuziSasa kajichanganye tuone nani ni wakusikitikiwa Mimi au wewe.
Nijichanganye kivip, mimi
Nijichanganye kivip, mimi kuoa nishaoa na sikuzingatia huo upuuzi
This is social network don't take too serious my friend. Inawezekana wewe ni miongoni mwawatu wenye bahati sana, Mungu awajaarie maisha mema wew na shemeji yetu.
This is social network don't take too serious my friend. Inawezekana wewe ni miongoni mwawatu wenye bahati sana, Mungu awajaarie maisha mema wew na shemeji yetu.Nijichanganye kivip, mimi kuoa nishaoa na sikuzingatia huo upuuzi
ndiyoWewe uliyeandika ni mrangi
Sawa mrangiiSina maana ya ukabila ila elimu ndogo kwenye mambo ya mahusiano unapaswa kuzingatia.
kuna baadhi ya makabila yakioana ndoa huwa n
a furaha na kudumu zaidi. Hii inatokana na utamaduni na dini/imani wengi wa kabila fulani kuwa na vitu ambayo vinafanya mtu wa kabila lingine kufurahishwa nao kulingana na matakwa ya tamaduni yake.
Utafiti huu unaleta matokeo kwa asilimia kubwa lakini siyo mara zote itakuwa hivyo kwani inaweza kuwa kinyume chake.
Makila yanayoendana Kuoana
Mkurya na Mrangi, msingida, mpwani .
mchaga na mrangi, msingida, masai, mbulu, tanga.
hehe na mrangi, ngoni, manda, nyasa, tanga, chaga.
sukuma na mgogo, nyamwezi, kurya.
mmakonde na kurya, ngoni.
mnyakyusa na chaga, kinga, bena.
muha na mrangi, pwani na tanga.
muhaya na sukuma, nyamwezi .
mpare na mrangi, singida na tanga.
NB. jina la mkoa maana yake makala yote ya mkoa huo.
sandawe na makabila yote isipokuwa Zenji, singida na Dodoma.
Makabila Ambayo hayaendani kabisa.
mbara na mzenji.
mgogo na hehe
mkurya na mngoleme, mhehe
mchaga na mpare.
masai na mbulu/Iraqwi
chaga na gogo
haya na chaga, kurya, gogo.
Zingatia ushauri huu atakama nimewasilisha kama na ruka kichurachura ila jitahidi kuelewa.
Wachaga vs wanyakyusa
Hizi ndoa wazazi wakinyakyusa wanazipinga sana ....mtoto wao kuoa au kuolewa na wachaga ..........nadhani sababu inajulikana
Hata Mimi nikiwa mzazi.....ntakataa hizi ndoa
😅😂Wachaga vs wanyakyusa
Hizi ndoa wazazi wakinyakyusa wanazipinga sana ....mtoto wao kuoa au kuolewa na wachaga ..........nadhani sababu inajulikana
Hata Mimi nikiwa mzazi.....ntakataa hizi ndoa
Hawana shida hao watu from Mbeya huko, wapole wasikivu waelewa hawana makuu...Mkuu embu nipe abcd la hili kabil la wandali au wanyia wa songwe Ni watu wanamna gani Hawa mnk Niko natak kufanya decision making nimpe nafsi au niingie mitini tu
wahaya hatuwezi penda watu wa hovyoKuna Mlugulu na Mzaramo hapo ni Gundi na Karatasi.
Kuna Mkurya na Mnyakyusa baba hapo ni Chuma na Sumaku.
Kuna Mnyamwezi na Mngoni baba hapo ni Upele na Mkunaji hatoboi mtu.
Kuna Ile ya MUHA na Mhaya hapo ni V8 na Diesel hapindui meza
Na kuna ile ya MCHAGA na mme Tajiri hapo ni kama kusukuma mlevi mkuu.