Makabila yanayoongoza kwa watu wengi wenye kipato kidogo na kikubwa nchini

Makabila yanayoongoza kwa watu wengi wenye kipato kidogo na kikubwa nchini

mara nyingi sana jamii zenye maendeleo sanaa ndizo zinazoongoza kwa utofauti wa vipatoo

na kwa utofaut huo ni rahisi kuwaona wenye maisha mazuri na walochokaa/wasio na kipato kabsaaa ---- hasa uchaggani/wanyakyusa/wakinga/wahaya na wasukuma
 
Makabila yenye idadi kubwa ya watu wenye mpunga mwingi
1. Chagaz
2.Kingaz
3. Zaramoz

Makabila yaliyofulia zaidi
1.Gogoz
2. Kondez
3. Nyirambaz n Iraqis

Huu ni ukweli na Wala haihusiani na kuwa mbaguz Mimi ni mhehe Kama kigogo
Wazaramo hawana mpunga mwingi, labda upunguani. Mtu anauza shamba ili anunue vijora na kucheza ngoma
 
Wanyaturu tunaongoza kwa akili TANZANIA NZIMA
Sasa kama sample ndio ww uliyetapeliwa na global alliance mwaka 2020 basi kweli akili mnazo
IMG_20211001_081857.jpg
 
mara nyingi sana jamii zenye maendeleo sanaa ndizo zinazoongoza kwa utofauti wa vipatoo

na kwa utofaut huo ni rahisi kuwaona wenye maisha mazuri na walochokaa/wasio na kipato kabsaaa ---- hasa uchaggani/wanyakyusa/wakinga/wahaya na wasukuma
Siasa
 
Sasa kama sample ndio ww uliyetapeliwa na global alliance mwaka 2020 basi kweli akili mnazoView attachment 1961630
Hiv upepo wa hawa watu uliishiaga wap.hahahahhahaha.daah..mara foreva..mara D9..mara bitcoin mara forex mara heeeee.....huu upepo umekata kabisaa....vingne bi vya kwel kama bitcoin na forex ila uliingia upigaj ndan yake..na matapel wa kila aina daaah..tunatoka mbal sana....na kilimo cha matikit ekari 1 kupata 9m..hahahahhahahahaha..hatar sana
 
Back
Top Bottom