Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
AiseeeeeWahaya sound tu, ujanja wote wanaishia kula wadudu tu......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeeeWahaya sound tu, ujanja wote wanaishia kula wadudu tu......
Wazaramo mji unatushinda kwa mapunguani mengi yaliokuwepo!! Tpa imepotea mikonon mwao miak y 85-90s n mpaka leo nafas zlzobak kwao ni ukarani tu! Ndio tunayoyaweza
Wasukuma wameendelea!?mara nyingi sana jamii zenye maendeleo sanaa ndizo zinazoongoza kwa utofauti wa vipatoo
na kwa utofaut huo ni rahisi kuwaona wenye maisha mazuri na walochokaa/wasio na kipato kabsaaa ---- hasa uchaggani/wanyakyusa/wakinga/wahaya na wasukuma
Asije kukwambia jakaya na mzee wa ruksaembu tutajie wazaramo watano wenye ukwasi mwingi tuwajue.
Wahaya sifa tu hata akiwa anauza kahawa miaka 10 anasema AnajishikizaMzaramoo!!!!
Wapi wasukumaaaa?
Wapo wapi wahayaa?
Wahaya wana maji mengi.Wahaya wachovu sana
Ni kweli hasa ya kuamsha miguu kwa wanawake..Wanyaturu tunaongoza kwa akili TANZANIA NZIMA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asije kukwambia jakaya na mzee wa ruksa
Na udini piaHuu ukabila nyerere aliukataa