sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
-
- #21
Ndugu abiria, asante kwa kujitambulisha wewe ni msambaa πππ Ila wabongo kwa kuyapamba makabila huwa mnavuka mipakaa, wasambaa πππWasambaa mzee hawategemei elimu kabisa tangu kuumbwa kwao watu wa biashara tu. Hata wasome biashara ni damuni
HaswaaaWasambaa wa wapi acha utani mzee.
Wasambaa ni manamba tangu enzi enzi
Wao kazi za ni za kutumia nguvu lkwa walio mjini wa kijijini ni kilimo.
Ukikuta msambaa kipanga basi ni kipanga kweli kweli.
Ndugu abiria, asante kwa kujitambulisha wewe ni msambaa πππ Ila wabongo kwa kuyapamba makabila huwa mnavuka mipakaa, wasambaa πππ
Muwe mnasoma post nzima sio mnasoma vichwa vya habari mnakibilia ku comment, nimeshaweka wazi elimu ni muhimu lakini katika uzito wake sio kuiwekea uzito wote kwamba uitegemee iwe njia pekee ya maendeleo kwa ajiraUtafanyaje biashara bila ya kuwa na Elimu sasa?
Makabila yote yanayoongoza Kwa biashara ndio hayohayo yenye Elimu.
Biashara bila elimu haiwezekan labda biashara ya madawa, Uchawi au ujambazi.
Ok, sikuelewa vizuri, ni kweli huwa naona wasambaa wengi sana wanatembeza karanga na majiMimi sio msambaa ila nakuambia kweli ishu za wasambaa kufanya biashara kuanzia startup ni wengi kuliko wachaga na makabila yote.
Namaanisha wachaga biashara zao za shortcut na mitaji mikubwa sana . Pia wanapata pesa kupitia elimu kitambo kama wahaya.
Wagosi ni fighter real yaani kuanza kuuza karanga mpaka kufika juu nakuambia fuatilia hilo kijana wa kisambaa anauza maji ya kufunga unakuta anaoa miaka kadhaa yupo mbali.
Huwezi kunielewa kama unabisha fuatilia wagosi Wana biashara za kuanzia chini namaanisha elimu wanayo japo sio sana sema wasambaa sio popularWasambaa wa wapi acha utani mzee.
Wasambaa ni manamba tangu enzi enzi
Wao kazi za ni za kutumia nguvu lkwa walio mjini wa kijijini ni kilimo.
Ukikuta msambaa kipanga basi ni kipanga kweli kweli.
Si unawaona Tena wadogo wengi ninawajua vijana watano nimewazidi kipind namaliza form four walikuwa form one ila leo wako mbali .Dili za kuleta matunda na ni wadogo under 24 Wana watoto na mke yaani we acha tu ila ni watu wa dini sana wanaporomosha nyumba huko kigamboni.Ok, sikuelewa vizuri, ni kweli huwa naona wasambaa wengi sana wanatembeza karanga na maji
Hakuna taifa linaloendelea bila Elimu...hizo Biashara zako asingekuwepo mvumbuzi wa Meli na Ndege ungefikaje huko Uchina kujumua biashara uje uuze masponchi ya kuongeza hipsi Magomeni Mapipa...ukijigundua hutambui umuhimu wa elimu wewe na kizazi chako mna tatizo kubwa SanΔ mbeleniElimu ni muhimu ila ipewe uzito wake kwa kiwango cha kukukomboa kifikra na sio kuitegemea kama njia pekee ya kupata maendeleo kupitia ajira, Zama zimebadilika.
Zamani ukiwa na gari lako utaendesha kwa uhuru mkubwa sana, ila siku hizi wenye magari ni wengi sana haupo peke yako na kuna foleni, Ndivyo ilivyokuwaga zamani makabila machache sana yalikuwa yana access ama / na uwezo mkubwa wa kusoma shuleni na hatimae kutumia elimu zao kurundikana katika ajira zilizohitaji elimu hasa za vyuoni,
Waliozifaidi sana hizi ajira walikuwa ni wahaya na wachaga.
Kadri miaka inavyozidi kwenda makabila mengine nayo yakaanza kuingilia hii keki, makabila kama wasukuma, wanyakyusa, wapare, wakerewe, n.k. nao wakaanza kuona elimu ndio dili, watoto wakaanza kuwekewa mkazo kusoma, shule zilianza kujengwa, n.k. hatimae nao wakaingia kwenye mgao wa ile keki ya wachache hasa katika ajira zilizohitaji elimu za juu.
Mwamko wa elimu ukazidi kuwa mkubwa kwa makabila mengi zaidi na kusambaa zaidi mpaka vijijini huko ndani ndani, ile keki iliyokuwa ya wachache ikaanza kumegwa na watu wengi zaidi,
Na mpaka sasa tulipo, Eimu imerahisishwa sana kiasi kwamba siku hizi hata matokeo ya form 4 na 6 ni kawaida sana kukuta shule nyingi hazina division 4 wala 0, hii ni mpaka huko Pemba na mikoa ya Lindi ambayo licha ya kuburuza mikia unakuta siku hizi kuna wanafunzi wanafaulu.
Mgao uesambaa sana kwa sasa aisee, Sehemu ambazo zamani ulikuta makabila machache yamerundikana siku hizi utawakuta karibu kila kabila tofauti na zamani, Ni kawaida pia kukuta sehemu haina watu wa makabila yaliyojazana zamani ila ukakuta kuna watu wengine wengi wa makabila mengine,.
Elimu kuwa sehemu ya kutoboa tundu lake linazidi kuwa dogo.
Kwa sasa Biashara ndio mpango, tena iwe ile ya kuinuana kama wachaga, wapemba na wakinga, wachaga nadhani tangu zamani walishaona mbali wakaamua kuruka na kwenye biashara tofauti na makabila mengine, Kimbembe kipo kwa waliokuwa wanategemea elimu pekee, mzee anastaafu na ajira hairithishwi na ndipo penye shida hapo.
Nasikitika wasambaa huwajui eti kilimo kilimo kip wanafanya wanalima na kabichi tu mazao wao mengi matunda hayana sijui kwenda daily shamba Kuna matunda damu, apple, peasi, mafyokxi ,parachichi na hata ndizi .Wasambaa wa wapi acha utani mzee.
Wasambaa ni manamba tangu enzi enzi
Wao kazi za ni za kutumia nguvu lkwa walio mjini wa kijijini ni kilimo.
Ukikuta msambaa kipanga basi ni kipanga kweli kweli.
Muwe mnasoma post nzima sio mnasoma vichwa vya habari mnakibilia ku comment, nimeshaweka wazi elimu ni muhimu lakini katika uzito wake sio kuiwekea uzito wote kwamba uitegemee iwe njia pekee ya maendeleo kwa ajira
Tatizo kubwa nchini hapa ni fikra iliyojengeka kwamba maendeleo ya elimu ni kwa njia ya kuajiriwa, misemo kama soma sana uje kuwa na ajira ndio inafunga watu akili.Mbona mada yako ni fupi mkuu, hivyo nimeisoma.
Elimu ndio njia pekee Kwa maendeleo.
Labda Kama hujui maana ya elimu.
Bila elimu hakuna maendeleo wala hicho unachokiita biashara
APOSTO KUNA MUUJIZA HUKUMimi sio msambaa ila nakuambia kweli ishu za wasambaa kufanya biashara kuanzia startup ni wengi kuliko wachaga na makabila yote.
Namaanisha wachaga biashara zao za shortcut na mitaji mikubwa sana . Pia wanapata pesa kupitia elimu kitambo kama wahaya.
Wagosi ni fighter real yaani kuanza kuuza karanga mpaka kufika juu nakuambia fuatilia hilo kijana wa kisambaa anauza maji ya kufunga unakuta anaoa miaka kadhaa yupo mbali.
Ungekuwa umesoma ma waarabu na wasomali labda ungeelewa, wale watu wengi wanaishia form 4, wanainuliwa kwa mitaji tu na baada ya miaka mitano tu maendeleo yao na yako ni kama mbingu na ardhi... Elimu wanayotumia ni hesabu za kawaida kabisa, mambo mengine ya taaluma wameajiri watu wanaowalioa laki 5Hakuna taifa linaloendelea bila Elimu...hizo Biashara zako asingekuwepo mvumbuzi wa Meli na Ndege ungefikaje huko Uchina kujumua biashara uje uuze masponchi ya kuongeza hipsi Magomeni Mapipa...ukijigundua hutambui umuhimu wa elimu wewe na kizazi chako mna tatizo kubwa SanΔ mbeleni
Tatizo kubwa nchini hapa ni fikra iliyojengeka kwamba maendeleo ya elimu ni kwa njia ya kuajiriwa, misemo kama soma sana uje kuwa na ajira ndio inafunga watu akili.
Kina Mengi walisoma sana wakaajiriwa ajira safi lakini wakaingia kwenye biashara, nae huyu kijana Fred Vunjabei ni mkinga kasoma na akaajiriwa serikalini lakini akamuiga Mengi na kwa sasa ni mfanya biashara ana maendeleo sio kama Mengi lakink si haba.... Nadhani unaipata point yangu
Well said.,[emoji1376]Tatizo letu bado ni lile lile. Bado hatujajua lengo kuu la elimu yetu ni nini. Elimu tumeidogosha na kuipa jukumu ambalo siyo lake - kuwatajirisha waipatayo!
Duniani kote lengo-mama la elimu ni kuwafanya waipatayo kuyaelewa vizuri mazingira yao na kuwafanya waishi huku wakijua mifumo inayoendesha maisha yao na malimwengu. Wenzetu wameshaondokana na hizi ngonjera za kwamba kila msomi ni lazima atajirike. Ndo maana utakuta maprofesa wao wengine hata magari hawana na wanakuja kazini kwa baisikeli. Ila wanajua jukumu lao ni nini. Na jamii inawaheshimu sana.
Elimu ina umuhimu wake na ina jukumu kubwa sana katika kuleta maendeleo ya jumla kwa waipatayo. Lakini kwa vile lengo ni kutaka kila msomi atajirike, hapo ndipo elimu yetu inakosa maana kabisa na dhana hii potofu ndiyo inachochea rushwa, ufisadi na maovu ya kila aina katika jamii wasomi wetu wakichacharika ili watajirike wasije wakachekwa kuwa elimu yao haijawaendeleza.
Kama lengo la elimu ni utajiri elimu ya fomu foo inatosha. Baada ya hapo mtu apatiwe mtaji aingie mtaani. Madaktari, walimu, wauguzi, wahandisi, wanasheria...na kada zinginezo-hawa tutawapata kutoka katika jamii ambazo hazipendi maendeleo (isomeke utajiri). Sad!
Uko sahihi kabisa, professor John Dewey alisema" The aim of Education is not to prepare someone to live but Education itself is Life" nyerere pia alipokua anasisitiza Elimu ya Watu wazima, alisema Elimu haina mwisho, Long life education [emoji137][emoji137]Tatizo letu bado ni lile lile. Bado hatujajua lengo kuu la elimu yetu ni nini. Elimu tumeidogosha na kuipa jukumu ambalo siyo lake - kuwatajirisha waipatayo!
Duniani kote lengo-mama la elimu ni kuwafanya waipatayo kuyaelewa vizuri mazingira yao na kuwafanya waishi huku wakijua mifumo inayoendesha maisha yao na malimwengu. Wenzetu wameshaondokana na hizi ngonjera za kwamba kila msomi ni lazima atajirike. Ndo maana utakuta maprofesa wao wengine hata magari hawana na wanakuja kazini kwa baisikeli. Ila wanajua jukumu lao ni nini. Na jamii inawaheshimu sana.
Elimu ina umuhimu wake na ina jukumu kubwa sana katika kuleta maendeleo ya jumla kwa waipatayo. Lakini kwa vile lengo ni kutaka kila msomi atajirike, hapo ndipo elimu yetu inakosa maana kabisa na dhana hii potofu ndiyo inachochea rushwa, ufisadi na maovu ya kila aina katika jamii wasomi wetu wakichacharika ili watajirike wasije wakachekwa kuwa elimu yao haijawaendeleza.
Kama lengo la elimu ni utajiri elimu ya fomu foo inatosha. Baada ya hapo mtu apatiwe mtaji aingie mtaani. Madaktari, walimu, wauguzi, wahandisi, wanasheria...na kada zinginezo-hawa tutawapata kutoka katika jamii ambazo hazipendi maendeleo (isomeke utajiri). Sad!