Hawa watu huwa hawapendi kabisa kusemea mabaya yao, mtu na akili zake anakwambia kabisa eti hakuna mchawi hata mmoja uchaggani😄Ota lanye, embu tema mate chini
Aisee asilimia kubwa za koo za kichaga ni wachawi tena wachawi haswaa, muulize Mshana Jr akwambie
mimi ni mchaga wa machame, najua ninachozungumza mambo ni fireee, halafu kuna hawa wa marangu🔥🔥🔥🔥Hawa watu huwa hawapendi kabisa kusemea mabaya yao, mtu na akili zake anakwambia kabisa eti hakuna mchawi hata mmoja uchaggani😄
Naunga mkono,kuna ukweli mchungu unaotesa wengi 🤣🤣Mchaga ana mambo yake meusi lakini hata yakiwekwa hayo mambo kumi, bado uchawi hauingii kwenye orodha, hata kwa watu tuliowahi kuishi nao Moshi na Arusha tunawajua upande wao mweusi ni utapeli, wizi (hapa wapo hadi majambazi sugu), visasi, ulevi uliopindukia, n.k. lakini maswala ya ushirikina hawa jamaa ni weupe kama mtu alietoka bush kwenda Dar, hata kama watauhitaji ni ule wa kununua maana hata kumkuta sangoma huko kwao ni sawa na kutafuta bikra hodi ya wazazi.
Makabila mengi yenye watu walofanikiwa, maendeleo yao huwa yanaonekana wakiwa mjini ama nje ya wilaya walizotokea, huku mijini watajiachia sana kwenye nyumba nzuri, gari za kifahari, kuishi kitajiri, n.k. lakini breki zote zinafungwa ukiyapima maendeleo yao kulingana na sehemu walizotokea.
Kiukweli wala huwa sio kosa lao kuto endeleza sehemu walizotokea, hii yote huwa ni kwasababu ya hofu ya kupigwa vipapai, mfano kuna sehemu huko makambako nyumba hazina bati, watu wana uwezo wa kuweka bati lakini wanaogopa kuweka bati kwa hofu ya vipapai.
Hali hii huwa inapelekea hata watu wasirudi sehemu zao walizotokea hasa habari zikisambaa kijijini kwamba wametoboa mjini.
Wakinga wanafanya mapinduzi makubwa ya kutisha kwenye biashara kiasi kwamba Kariakoo wao ndio wameikamata lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Wapo wasukuma migodini, wenye kazi nzuri, n.k. wametokea Geita, shinyanga, Simyu, lakini wanahofia kurudi kwao kupaendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Kuna maprofesa wengi sana wametokea Ukerewe lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Kuna wahaya wengi wameelimika na wana kazi nzuri wametokea bukoba lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Makabila ya koa wa Mara yamerundikana Jeshini huko wapo wenye vyeo vikubwa lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
HITIMISHO
Ushirikina ni adui wa maendeleo.
Nimekutana na watu wengi wa maeneo tofaut walichonieleza kuhusu makwao na ulichoeleza humu ni ukwel kabisa japo mchungu mfano ukelewe hata ukifaulu tu kwenda chuo ni mtihan weng huwa hawarud hata iwe likizo.Mchaga ana mambo yake meusi lakini hata yakiwekwa hayo mambo kumi, bado uchawi hauingii kwenye orodha, hata kwa watu tuliowahi kuishi nao Moshi na Arusha tunawajua upande wao mweusi ni utapeli, wizi (hapa wapo hadi majambazi sugu), visasi, ulevi uliopindukia, n.k. lakini maswala ya ushirikina hawa jamaa ni weupe kama mtu alietoka bush kwenda Dar, hata kama watauhitaji ni ule wa kununua maana hata kumkuta sangoma huko kwao ni sawa na kutafuta bikra hodi ya wazazi.
Makabila mengi yenye watu walofanikiwa, maendeleo yao huwa yanaonekana wakiwa mjini ama nje ya wilaya walizotokea, huku mijini watajiachia sana kwenye nyumba nzuri, gari za kifahari, kuishi kitajiri, n.k. lakini breki zote zinafungwa ukiyapima maendeleo yao kulingana na sehemu walizotokea.
Kiukweli wala huwa sio kosa lao kuto endeleza sehemu walizotokea, hii yote huwa ni kwasababu ya hofu ya kupigwa vipapai, mfano kuna sehemu huko makambako nyumba hazina bati, watu wana uwezo wa kuweka bati lakini wanaogopa kuweka bati kwa hofu ya vipapai.
Hali hii huwa inapelekea hata watu wasirudi sehemu zao walizotokea hasa habari zikisambaa kijijini kwamba wametoboa mjini.
Wakinga wanafanya mapinduzi makubwa ya kutisha kwenye biashara kiasi kwamba Kariakoo wao ndio wameikamata lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Wapo wasukuma migodini, wenye kazi nzuri, n.k. wametokea Geita, shinyanga, Simyu, lakini wanahofia kurudi kwao kupaendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Kuna maprofesa wengi sana wametokea Ukerewe lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Kuna wahaya wengi wameelimika na wana kazi nzuri wametokea bukoba lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Makabila ya koa wa Mara yamerundikana Jeshini huko wapo wenye vyeo vikubwa lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
HITIMISHO
Ushirikina ni adui wa maendeleo.
Kila kabila linavutia kwake, mikoa yote bado ni masikini kwa ujumla wake.Uliwahi kuona wapi mchagga mchawi mzee?
Tembea uone mkuu. Hakuna sehemu za vijijini zilizoendelea kama za uchagani.
Hakuna cha maendeleo wala niniM
Mm mchaga aisee, kwetu uchawi upo....japo kuna maendeleo.
Sababu za kujenga ni zipi kiuchumi au ujenge ili upambe mji?Huko unakoona ni sahihi mtu kujenga ghorofa kwasasa, je palianza na maghorofa miaka?? Au umekuja Dar juzi?
Kwanini hio mikoa aliyoitaja mleta mada isianze kujengeka na kuwa n kama ilivyojengeka dar, kiasi kwamba unaona mtu hapaswi kujenga ghorofa au nyumba nzuri??
Mleta mada anaweza kuwa sawa kwa asilimia fulani lakini sio kusema amekosa mashiko moja kwa moja kama usemavyo.
Wapo kibao mshamba wewe kila ukoo uchawi upo fuatilia MasaiUliwahi kuona wapi mchagga mchawi mzee?
Tembea uone mkuu. Hakuna sehemu za vijijini zilizoendelea kama za uchagani.
Hii ni point, unaweza kujenga nyumba nzuri ya kawaida ya kufikia siku umepeleka wageni wasikae chini ya mtiMada yako haina ukeli wowote. Umeungaunga habari kufikia unakotaka.
Watu wanawekeza mahali ambako uwekezaji wao utapata thamani sahihi.
Uende ukajenge ghorofa Makete, utasema kuwa hilo ghorofa ni asset au liability?
Ukajenge nyumba nzuri sana kijijini wakati huishi huko, unaenda kwa mwaka mara moja, inasaidia nini? Labda kuwaonesha tu wanakijiji kuwa una uwezo. Wengi huko vijijini, tunajenga nyumba nzuri za kawaida, nzuri zaidi ni pale unapoishi.
Upo wacha ushamba na ubishi kumtetea kwenu tulia wachawi wakubwa sema uchawi upo tofautiZipo mzee labda hujatembea tu. Ushawahi sikia story za uchawi uchagani? Acha kukariri uchagani sio usukumani huko gamboshi
Kuna ile ya kujenga kwenye familia yenu/ kwa wazazi kwa maana kuliko waendelee kuishi kwenye nyumba ya matope unawaboreshea kidogo..sidhani kama alimaanisha assert au nyumba ya biashara.Mada yako haina ukeli wowote. Umeungaunga habari kufikia unakotaka.
Watu wanawekeza mahali ambako uwekezaji wao utapata thamani sahihi.
Uende ukajenge ghorofa Makete, utasema kuwa hilo ghorofa ni asset au liability?
Ukajenge nyumba nzuri sana kijijini wakati huishi huko, unaenda kwa mwaka mara moja, inasaidia nini? Labda kuwaonesha tu wanakijiji kuwa una uwezo. Wengi huko vijijini, tunajenga nyumba nzuri za kawaida, nzuri zaidi ni pale unapoishi.
Ila KWa Sasa wachanga na ushirikina haijalishi wa kununua au la wako juu SanaMchaga ana mambo yake meusi lakini hata yakiwekwa hayo mambo kumi, bado uchawi hauingii kwenye orodha, hata kwa watu tuliowahi kuishi nao Moshi na Arusha tunawajua upande wao mweusi ni utapeli, wizi (hapa wapo hadi majambazi sugu), visasi, ulevi uliopindukia, n.k. lakini maswala ya ushirikina hawa jamaa ni weupe kama mtu alietoka bush kwenda Dar, hata kama watauhitaji ni ule wa kununua maana hata kumkuta sangoma huko kwao ni sawa na kutafuta bikra hodi ya wazazi.
Makabila mengi yenye watu walofanikiwa, maendeleo yao huwa yanaonekana wakiwa mjini ama nje ya wilaya walizotokea, huku mijini watajiachia sana kwenye nyumba nzuri, gari za kifahari, kuishi kitajiri, n.k. lakini breki zote zinafungwa ukiyapima maendeleo yao kulingana na sehemu walizotokea.
Kiukweli wala huwa sio kosa lao kuto endeleza sehemu walizotokea, hii yote huwa ni kwasababu ya hofu ya kupigwa vipapai, mfano kuna sehemu huko makambako nyumba hazina bati, watu wana uwezo wa kuweka bati lakini wanaogopa kuweka bati kwa hofu ya vipapai.
Hali hii huwa inapelekea hata watu wasirudi sehemu zao walizotokea hasa habari zikisambaa kijijini kwamba wametoboa mjini.
Wakinga wanafanya mapinduzi makubwa ya kutisha kwenye biashara kiasi kwamba Kariakoo wao ndio wameikamata lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Wapo wasukuma migodini, wenye kazi nzuri, n.k. wametokea Geita, shinyanga, Simyu, lakini wanahofia kurudi kwao kupaendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Kuna maprofesa wengi sana wametokea Ukerewe lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Kuna wahaya wengi wameelimika na wana kazi nzuri wametokea bukoba lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
Makabila ya koa wa Mara yamerundikana Jeshini huko wapo wenye vyeo vikubwa lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.
HITIMISHO
Ushirikina ni adui wa maendeleo.
Hata uko Dar unapoona pako sawa kiuchumi hapakuanza na ghorofa, mikoa midogo midogo inayokuwa kwa sasa imeweza kutokana na uthubutu wa watu kujenga bila kujiuliza hayo maswala unayojaribu kuhoji.