Makabila yenye mafanikio (kasoro wachaga), sehemu walizotokea hazina maendeleo kwasababu wanaogopa kurogwa wakitaka kurudi kufanya maendeleo

Makabila yenye mafanikio (kasoro wachaga), sehemu walizotokea hazina maendeleo kwasababu wanaogopa kurogwa wakitaka kurudi kufanya maendeleo

Ota lanye, embu tema mate chini

Aisee asilimia kubwa za koo za kichaga ni wachawi tena wachawi haswaa, muulize Mshana Jr akwambie
Hawa watu huwa hawapendi kabisa kusemea mabaya yao, mtu na akili zake anakwambia kabisa eti hakuna mchawi hata mmoja uchaggani😄
 
Wachanga wachawi mno lakini sio kujionyesha, hapo asiwadanganye mtu kabisa.
 
Hawa watu huwa hawapendi kabisa kusemea mabaya yao, mtu na akili zake anakwambia kabisa eti hakuna mchawi hata mmoja uchaggani😄
mimi ni mchaga wa machame, najua ninachozungumza mambo ni fireee, halafu kuna hawa wa marangu🔥🔥🔥🔥
 
Mchaga ana mambo yake meusi lakini hata yakiwekwa hayo mambo kumi, bado uchawi hauingii kwenye orodha, hata kwa watu tuliowahi kuishi nao Moshi na Arusha tunawajua upande wao mweusi ni utapeli, wizi (hapa wapo hadi majambazi sugu), visasi, ulevi uliopindukia, n.k. lakini maswala ya ushirikina hawa jamaa ni weupe kama mtu alietoka bush kwenda Dar, hata kama watauhitaji ni ule wa kununua maana hata kumkuta sangoma huko kwao ni sawa na kutafuta bikra hodi ya wazazi.

Makabila mengi yenye watu walofanikiwa, maendeleo yao huwa yanaonekana wakiwa mjini ama nje ya wilaya walizotokea, huku mijini watajiachia sana kwenye nyumba nzuri, gari za kifahari, kuishi kitajiri, n.k. lakini breki zote zinafungwa ukiyapima maendeleo yao kulingana na sehemu walizotokea.

Kiukweli wala huwa sio kosa lao kuto endeleza sehemu walizotokea, hii yote huwa ni kwasababu ya hofu ya kupigwa vipapai, mfano kuna sehemu huko makambako nyumba hazina bati, watu wana uwezo wa kuweka bati lakini wanaogopa kuweka bati kwa hofu ya vipapai.

Hali hii huwa inapelekea hata watu wasirudi sehemu zao walizotokea hasa habari zikisambaa kijijini kwamba wametoboa mjini.

Wakinga wanafanya mapinduzi makubwa ya kutisha kwenye biashara kiasi kwamba Kariakoo wao ndio wameikamata lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Wapo wasukuma migodini, wenye kazi nzuri, n.k. wametokea Geita, shinyanga, Simyu, lakini wanahofia kurudi kwao kupaendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Kuna maprofesa wengi sana wametokea Ukerewe lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Kuna wahaya wengi wameelimika na wana kazi nzuri wametokea bukoba lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Makabila ya koa wa Mara yamerundikana Jeshini huko wapo wenye vyeo vikubwa lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

HITIMISHO
Ushirikina ni adui wa maendeleo.
Naunga mkono,kuna ukweli mchungu unaotesa wengi 🤣🤣
 
Mchaga ana mambo yake meusi lakini hata yakiwekwa hayo mambo kumi, bado uchawi hauingii kwenye orodha, hata kwa watu tuliowahi kuishi nao Moshi na Arusha tunawajua upande wao mweusi ni utapeli, wizi (hapa wapo hadi majambazi sugu), visasi, ulevi uliopindukia, n.k. lakini maswala ya ushirikina hawa jamaa ni weupe kama mtu alietoka bush kwenda Dar, hata kama watauhitaji ni ule wa kununua maana hata kumkuta sangoma huko kwao ni sawa na kutafuta bikra hodi ya wazazi.

Makabila mengi yenye watu walofanikiwa, maendeleo yao huwa yanaonekana wakiwa mjini ama nje ya wilaya walizotokea, huku mijini watajiachia sana kwenye nyumba nzuri, gari za kifahari, kuishi kitajiri, n.k. lakini breki zote zinafungwa ukiyapima maendeleo yao kulingana na sehemu walizotokea.

Kiukweli wala huwa sio kosa lao kuto endeleza sehemu walizotokea, hii yote huwa ni kwasababu ya hofu ya kupigwa vipapai, mfano kuna sehemu huko makambako nyumba hazina bati, watu wana uwezo wa kuweka bati lakini wanaogopa kuweka bati kwa hofu ya vipapai.

Hali hii huwa inapelekea hata watu wasirudi sehemu zao walizotokea hasa habari zikisambaa kijijini kwamba wametoboa mjini.

Wakinga wanafanya mapinduzi makubwa ya kutisha kwenye biashara kiasi kwamba Kariakoo wao ndio wameikamata lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Wapo wasukuma migodini, wenye kazi nzuri, n.k. wametokea Geita, shinyanga, Simyu, lakini wanahofia kurudi kwao kupaendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Kuna maprofesa wengi sana wametokea Ukerewe lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Kuna wahaya wengi wameelimika na wana kazi nzuri wametokea bukoba lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Makabila ya koa wa Mara yamerundikana Jeshini huko wapo wenye vyeo vikubwa lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

HITIMISHO
Ushirikina ni adui wa maendeleo.
Nimekutana na watu wengi wa maeneo tofaut walichonieleza kuhusu makwao na ulichoeleza humu ni ukwel kabisa japo mchungu mfano ukelewe hata ukifaulu tu kwenda chuo ni mtihan weng huwa hawarud hata iwe likizo.
 
Umewahi kufika MOSHI au unaongea tuu
aliyekuambia UCHAGANI hakuna WAGANGA hakuna WACHAWI ni nani
hao jamaa ni wachawi sana
kilichowasaidia ni ile KUSOMA hvyo wengi wao uchawi hawautukuzi sana tofauti na makabira mengine
 
Huko unakoona ni sahihi mtu kujenga ghorofa kwasasa, je palianza na maghorofa miaka?? Au umekuja Dar juzi?
Kwanini hio mikoa aliyoitaja mleta mada isianze kujengeka na kuwa n kama ilivyojengeka dar, kiasi kwamba unaona mtu hapaswi kujenga ghorofa au nyumba nzuri??

Mleta mada anaweza kuwa sawa kwa asilimia fulani lakini sio kusema amekosa mashiko moja kwa moja kama usemavyo.
Sababu za kujenga ni zipi kiuchumi au ujenge ili upambe mji?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kwa kina mangi wanaloga sana. Uru, Marangu, Kilema Rombo ni fire.
Kuna vichaa wengi mno kila koo sababu ya tamaa za mali n.k. Hayo makafara ya damu sasa! Ajali za mchongo n.k ili watu waliobaki wapige pesa
 
Nina wachaga wanna nawajua hawa katika watoto wao mmoja kwa nn ni chizi haswa wa kwanza Kama sio uchawi na kafara

Kufanya watoto matahira machizi yapo kibao ya kichaga uliza uambiwe Kama wahindi ndo uchawi huo
 
Mada yako haina ukeli wowote. Umeungaunga habari kufikia unakotaka.

Watu wanawekeza mahali ambako uwekezaji wao utapata thamani sahihi.

Uende ukajenge ghorofa Makete, utasema kuwa hilo ghorofa ni asset au liability?

Ukajenge nyumba nzuri sana kijijini wakati huishi huko, unaenda kwa mwaka mara moja, inasaidia nini? Labda kuwaonesha tu wanakijiji kuwa una uwezo. Wengi huko vijijini, tunajenga nyumba nzuri za kawaida, nzuri zaidi ni pale unapoishi.
Hii ni point, unaweza kujenga nyumba nzuri ya kawaida ya kufikia siku umepeleka wageni wasikae chini ya mti
 
Mada yako haina ukeli wowote. Umeungaunga habari kufikia unakotaka.

Watu wanawekeza mahali ambako uwekezaji wao utapata thamani sahihi.

Uende ukajenge ghorofa Makete, utasema kuwa hilo ghorofa ni asset au liability?

Ukajenge nyumba nzuri sana kijijini wakati huishi huko, unaenda kwa mwaka mara moja, inasaidia nini? Labda kuwaonesha tu wanakijiji kuwa una uwezo. Wengi huko vijijini, tunajenga nyumba nzuri za kawaida, nzuri zaidi ni pale unapoishi.
Kuna ile ya kujenga kwenye familia yenu/ kwa wazazi kwa maana kuliko waendelee kuishi kwenye nyumba ya matope unawaboreshea kidogo..sidhani kama alimaanisha assert au nyumba ya biashara.
Watu wengi wanapata aibu na kusemwa vibaya linapotokea tukio ambalo inabidi likafanyike au kufanyika nyumbani kwenu ulikozaliwa ambapo mazingira ya makazi huwa tofauti na duni ukilinganisha na yale unayoishi mjini.
 
Mchaga ana mambo yake meusi lakini hata yakiwekwa hayo mambo kumi, bado uchawi hauingii kwenye orodha, hata kwa watu tuliowahi kuishi nao Moshi na Arusha tunawajua upande wao mweusi ni utapeli, wizi (hapa wapo hadi majambazi sugu), visasi, ulevi uliopindukia, n.k. lakini maswala ya ushirikina hawa jamaa ni weupe kama mtu alietoka bush kwenda Dar, hata kama watauhitaji ni ule wa kununua maana hata kumkuta sangoma huko kwao ni sawa na kutafuta bikra hodi ya wazazi.

Makabila mengi yenye watu walofanikiwa, maendeleo yao huwa yanaonekana wakiwa mjini ama nje ya wilaya walizotokea, huku mijini watajiachia sana kwenye nyumba nzuri, gari za kifahari, kuishi kitajiri, n.k. lakini breki zote zinafungwa ukiyapima maendeleo yao kulingana na sehemu walizotokea.

Kiukweli wala huwa sio kosa lao kuto endeleza sehemu walizotokea, hii yote huwa ni kwasababu ya hofu ya kupigwa vipapai, mfano kuna sehemu huko makambako nyumba hazina bati, watu wana uwezo wa kuweka bati lakini wanaogopa kuweka bati kwa hofu ya vipapai.

Hali hii huwa inapelekea hata watu wasirudi sehemu zao walizotokea hasa habari zikisambaa kijijini kwamba wametoboa mjini.

Wakinga wanafanya mapinduzi makubwa ya kutisha kwenye biashara kiasi kwamba Kariakoo wao ndio wameikamata lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Wapo wasukuma migodini, wenye kazi nzuri, n.k. wametokea Geita, shinyanga, Simyu, lakini wanahofia kurudi kwao kupaendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Kuna maprofesa wengi sana wametokea Ukerewe lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Kuna wahaya wengi wameelimika na wana kazi nzuri wametokea bukoba lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

Makabila ya koa wa Mara yamerundikana Jeshini huko wapo wenye vyeo vikubwa lakini wanahofia kurudi kwao kuendeleza kwasababu ya kuogopa vipapai.

HITIMISHO
Ushirikina ni adui wa maendeleo.
Ila KWa Sasa wachanga na ushirikina haijalishi wa kununua au la wako juu Sana
 
Sababu za kujenga ni zipi kiuchumi au ujenge ili upambe mji?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata uko Dar unapoona pako sawa kiuchumi hapakuanza na ghorofa, mikoa midogo midogo inayokuwa kwa sasa imeweza kutokana na uthubutu wa watu kujenga bila kujiuliza hayo maswala unayojaribu kuhoji.

Wailioishi Mwanza miaka ya 1985 watakuwa wanaelewa.
 
Back
Top Bottom