Makabila yenye mafanikio (kasoro wachaga), sehemu walizotokea hazina maendeleo kwasababu wanaogopa kurogwa wakitaka kurudi kufanya maendeleo

Kuna Dada mmoja alikuwa akiuza duka la Shangazi akamwibia pesa (Wachaga),Dada akawa anakataa hajaiba ,yule Aunt akamwambia dada kama kweli hujaiba twende nyumbani (Uchagani) tukachinje mbuzii,dada alikataa katakata akamwambia hawezi kwenda kushiriki kuchinja mbuzi ,Sasa Kama Uchagani hakuna uchawi mbuzi anahusikaje hapo,si uchawi huo?
 
Hata uko Dar unapoona pako sawa kiuchumi hapakuanza na ghorofa, mikoa midogo midogo inayokuwa kwa sasa imeweza kutokana na uthubutu wa watu kujenga bila kujiuliza hayo maswala unayojaribu kuhoji.

Wailioishi Mwanza miaka ya 1985 watakuwa wanaelewa.
Kama hao walowekeza Dar miaka hiyo walikuwa wanawaza kama unavyowaza wewe basi hayo maghorofa wangeyajenga Hadi chanika na kibamba na sio karikoo na posta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi wa kumi nambili Wachaga hurudi kwao kufanya nini???
 
Mhhhh mimi kwetu ni Marangu ukikuta mchawi labda kanunua ila kiasili hakuna uchawi huko
 
Ni kweli kabisa
 
Kama kuna ukweli hivi,
Shemeji yangu alikua ameolewa na mtu wa kigoma, siku wameenda ukweni aliachana na mmewe, mjini wanaishi kifahari kijijini nyumba haina bati wanalalia ngozi
 
Mhhhh mimi kwetu ni Marangu ukikuta mchawi labda kanunua ila kiasili hakuna uchawi huko
Hakuna kabila kisilokuwa na uchawi, ukiweza kujiuliza kuwa kabla ya ujio wa dini wachagga waliishije kiimani utanielewa.


Kimsingi hata mimi naweza sema wasukuma au waha sio wachawi kabisa, na hauwezi kuwa na namna ya kuipinga kauli yangu kwa ushahidi kwasababu uchawi hauonekani. Either wa kununua au born-with bado ni ushirikina tu.
 
Hujafanya utafiti wa kutosha. Tangu lini mkurya akashindwa kuendeleza kwao kwa sababu ya uchawi ? Haya mambo sasa hivi yamelitwa na wakati. Sasa hivi watu wanapiga mijengo tu huko vijijini bila hofu yoyote nenda huko usukumani ukaone na hata Bukoba.
 
Umeshawahi kutembelea vijiji vya mkoa wa Kilimanjaro bwashee au unaongea tu. Waulize wamatumbi wenzako waliowahi kufika uchagani.
Hebu acha ushamba basi.

Wewe pia umewahi kutembelea vijiji vyote vya Kigoma au Mara? Tunaongea kwa reference zenye tija. Unapoambiwa TZ masikini kiuchumi, miundombinu n.k, uwe unaelewa. Utofauti ni mdogo, karibu mikoa yote ina umasikini wa kutupwa.

Nimerejea kauli ya JPM, nakuongezea na ya Nyerere. Kwa ujumla kila mkoa bado hali si shwari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…