Makabila yenye wanawake waliokosa uvumilivu kwenye ndoa

Makabila yenye wanawake waliokosa uvumilivu kwenye ndoa

Mambo ya ndani ya ndoa za watu umeyajuaje?
Sasa chief ukishakaa na jamii lazima kuna mambo lazima utasikia! Kuna mademu wengine friji zao hazigandishi anasimulia jirani ake wa kike huyo jirani yake ni rafiki yako na huyo rafiki yako ana rafiki yake...anasimulia watu hovyo..habari zako unazikuta mtaa wa saba!Ni kawaida kwa jamii za kiafrika.

Though mimi sipendi mambo yenye uswahili swahili..sasa kama unasimuliwa inabidi usikilize usimkatishe mtu tamaa anaekusimulia..maana siku anaweza kuletea story kuwa demu/mke wako anachakatwa sehemu ukachukulia poa kumbe ni kweli au yule demu unayegonga ana Umeme ukachukulia poa kumbe vingine vinaweza kukuokoa.
 
uvumilivu una threshold yake. na hiyo threshold inategemea na mtu.. dada zetu tunawasingizia vitu vingine
 
Ipo kwa wote hiyo haijalishi umbo. Wingi ndio unazidiana. Ww kaa muda bila ku do... Hafu upigwe backshot lazima itokee. Sema wanaume tunapiga kimya
Ile kitu huwa inamalizwa kwa kunywa maji mengi siku tatu kabla ya tukio au matumizi ya maji ya bamia kwa wingi.
 
Duuìuu midomo sasaaa.....makabila mengi wana midomo.....nyaki Kyela balaaaaaa
 
Back
Top Bottom