Makabila yenye wanawake waliokosa uvumilivu kwenye ndoa

Makabila yenye wanawake waliokosa uvumilivu kwenye ndoa

Mkuu sijakubishia.
Ni kweli wambulu hawajatulia kama usemavyo ila sababu ya mimi kumkubali huyu ni kwasababu amekulia jamii tofauti na mazingira tofauti.
Angelikulia Mbulu Manyara nisingethubutu hata kumsogelea.
Ana makuzi ya Tanga hata nikikuonesha na kusema huyu mbulu waweza kataa ukasema huyu msambaa.
Mpaka tamaduni za kisambaa amebeba.
Kama kapata malezi mazuri siwezi kukubishia hata kidogo, shida ya wambulu malezi yao siyo mazuri
 
Kuna mawili hapa. Uhakika wa kuendelea kuwa mke vs Wasiwasi wa kuachika muda wowote. Ukweli ni kuwa mwanamke mwenye wasiwasi wa kuachika muda wowote ndiye atakuwa mbaya kwenye ndoa kuliko mwenye uhakika wa kutoachika. Yule anayeweza kuachika muda wowote kwanza hana uhakika kama hataachika hata kama atanyenyekea namna gani. Na mbaya zaidi anaweza kuletewa ''washindani'' wenye kutumia kila aina ya hila muda wowote. Pili ni lazima atakuwa anajitayarisha kuwekeza kwa sababu muda wowote anajua anaweza kuambiwa nenda zako.
ndoa za kiisram vs kikristo ni kama ubepari na ujamaa!
sasa tuanzie hapo ujue upi mfumo wenye ufanisi na tija
ukweli ni kuwa inahitajika nguvu isiyo ya kadri kuutetea ujamaa!
ndiyo mana hata Tz tukabaki nao katika makaratasi.
Vile vile wakristo wanao katika cheti cha ndoa tu, wakiishi mitala kadhaa
 
Hivi mkuu ni ipi tofauti kati ya Wasambaa wa Lushoto na Korogwe!

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Wakorogwe wengi wafupi na wana miili vitufe na ndio wenye shape ukanda wa Tanga.
Pia lafudhi yao haikulegea imekaza ulimi.
Wa Lushoto ndio wale wenye lafudhi za ndimi kulegea warefu asilimia kubwa na wengi wembamba.
Hata kitabia wanatofautiana.
Wakorogwe wachapa kazi sana ila waLushoto mmmhhhh hapana hawatofautiani na wapare labda kwa sababu wamepakana.
 
Maustadhi ni wakorofi, anaweza kutana na tako huko nje limevaa baibui akarudi nalo ndani halafu anakuja mwambia mke wake wa sasa kuwa ameongeza mke na hapo amekwisha kamilisha kila kitu.
Umegonga pale pale. Halafu wanasema eti ndiyo ndoa ambazo wanawake hawana wasiwasi
 
Ndoa za kikristo ni za kipuuzi sana, wengi tunalazimishwa tu kuwa na mke mmoja na eti hakuna talaka, ndio maana wanawake wa kikristo ni jeuri mno
Sidhani kama ndoa zinalazimishwa. Hakuna mkristo anayelazimishwa kwenda kanisani kufunga ndoa. Kla mtu anakwenda kwa uhuru wake. Kwani ukitaka kuona hata wake 10 utakatazwa? Ni wewe mwenyewe tu.
 
Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu.

1.warangi
2.wapare
3.wahaya
4.wameru
5.wachagga
Ishia hapo hapo.
Hakuna ndoa inayodumu Kama ya mwanamke wa kipare.
Mpaka aamue kutoka kwenye ndoa utakua umemuumiza Sana. Vinginevyo hata umpe matumizi ya buku mbili, ukirudi utamkuta kapika makande na huta sikia akilalamika.
Usi confuse wagweno na wapare OG wa Same.
 
Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu.

1.warangi
2.wapare
3.wahaya
4.wameru
5.wachagga
Utakua na shida gani Hadi uoe mmeru? Kiburi chote kile.
Ila kwenye hiyo listi yako ondoa mpare weka MNYAKYUSA WA KYELA. KYELA iandike kwa kepito letas.
 
Hizo ni sababu lakini ukweli unabaki kuwa ni mmoja tu.

Hakuna mwanamke atayestahamili kuishi na wewe kama hatimiziwi haja yake.
Kuna mahitaji muhimu na kuna mahitaji yasiyo na ulazima na ya ziada ambayo mengi chanzo chake ni tamaa.
Hayo makabila tamaa wameweka mbele hata uwatimizie vipi.
 
Ishia hapo hapo.
Hakuna ndoa inayodumu Kama ya mwanamke wa kipare.
Mpaka aamue kutoka kwenye ndoa utakua umemuumiza Sana. Vinginevyo hata umpe matumizi ya buku mbili, ukirudi utamkuta kapika makande na huta sikia akilalamika.
Usi confuse wagweno na wapare OG wa Same.
Aaah wapi hamna lolote.
Mpare umpe buku aridhike!!??
Niite pussy cat nimekaa palee
 
Wanyaki nasikia mna kiukorofi hasa mkiolewa na makabila mengine lakini kwenye ndoa mnasifika sana kwa uvumilivu na uchapakazi. Kwa hiyo hii sredi haiwahusu hii!

Mkipenda mmependa, mkitulia mmetulia; na mkiamua kulianzisha mnalianzisha. Mpewe tu maua yenu aisee.

Shughuli pevu hasa iko hapa 👇👇👇. Sitakaa nisahau 🚮🚮🚮

View attachment 2956518
Limekaa kishari shari linaweza kukuatamia muda wowote
 
Woow! Tukuyu oyeee
Afu madam unaweza nisaidia kinachopelekea huo utofauti wa wanyakyusa wa kyela na tukuyu? Niwajuavyo maana nimeishi hizo sehem zote 1.Wa kyela hawa ni wajuaji/wajanja,,hawapendi shule mwisho wanapenda sana biashara 2.Wa tukuyu/rungwe wapole,wanazingatia elimu sio wajuaji
 
Uislam ni mwema sana.

Mbora kati yetu ni mcha Mungu.
Kila imani ni njema kwa muhusika flan au mbaya kulingana na mapokeo ya mtu,ndiomaana kila upande una wafia dini,tuachane na hayo mkuu,twendelee kuchangia mada,ila nikupongeze tena
 
Umeongea ukweli mtupu aisee tunashuhudia mitaani wanaume wa kikristo wanavyoteseka unakuta mwanamke ni mbabe na hana cha kutishiwa na mwanaume ana uwezo wa kuanzisha mvurugano muda wowote na mkienda mahakamani anashinda yeye kutokana na mifumo iliyowekwa na mahakama zetu wanawake wanasikilizwa zaidi wakiaminika kuwa ni wanyonge kumbe unyonge ilikuwa enzi zile za 1975 sio leo.
Kitu kingine mtu akisema watu wa pwani au waislamu ndoa zao zinaongoza kuvunjika au wanaongoza kutoa talaka labda anaongelea ile karatasi ya ushahidi wa ndoa kuvunjika lakini anasahau pia kwenye ukristo kuna ndoa nyingi zinakuwa zishavunjika yaani unakuta mke anaishi kivyake na mme anaishi kivyake sehemu tofauti na mke unakuta anaishi na mwanamme mwingine kama mme wake na mme naye anaishi na mwanamke mwingine na wanazaa watoto kabisa ila officially ndoa inayotambulika ni ile ya mwanzo lakini hawaruhusiwi kuandika talaka mwisho wa siku wanabaki na maumivu ya kudumu.
Sasa kwenye uislamu kwa kuliona hilo ndio kukawa na option ya kutoa talaka ili ndoa inapofikia kugeuka na kuwa uhasama/uadui watu waachane kila mtu akaanze maisha yake mapya.
Mkuu naomba unielimishe hili kuhusu sababu zinazoweza fanya wanandoa wakiislam kupeana talaka,maana kwa upande wetu wakristo msingi pekee wa talaka ni uasherati/uzinzi vipi kwa wenzetu vitu/kitu gan hususa kikitokea kinahalalisha talaka
 
Back
Top Bottom