Kuna mshikaji wangu mmoja kaacha Mmubulu juzi ndoa ina miezi 3. Anasema hataki hata kumuona, ana kila aina ya shida!Unaoa mmbulu miksa mnyaturu alafu unasema katulia? We itakua ni wa kuja wewe kaskazini yote inajua tabia ya wambulu na wanyaturu umeolea masela