Makabila yenye wanawake waliokosa uvumilivu kwenye ndoa

Makabila yenye wanawake waliokosa uvumilivu kwenye ndoa

Bro mbona unajichanganya mzee!?
Hizi ndoa za kikristo si ndio tunaona wazazi wanaishi kwa kutafutana kama vile paka na panya kiasi wanasalitiana na kutembea nje na wengine kuzalishana nje ya ndoa kisa ndani ya ndoa hakuna amani??
Kheri watu muachane kila mtu atafute amani yake ila sio kushikiliana eti ndoa ya kanisa haivunjwi mwisho wa siku kila mmoja anatafuta amani nje kwa kuzini mpaka anapata mtoto wa nje ya ndoa.
What is the point of that marriage??
Is that a marriage or a circus!??
Siyo zote wanafanya hivyo. Ila rate ya talaka maeneo ya Pwani ni kubwa. Hasara yake ni watoto wasiokuwa na malezi mazuri.
 
Kabla ya Kuoa Mrangi boss ni TAG nikushauri. Utaolea wenzako. Mwarab aliwaacha vibaya sana.
Mie nawajua warangi na kamwe sithubutu kuoa mrangi shurba yao naifaham maana niliwahi date nao na kuishi nao.
Mie nimeshaoa mmburu miksa mnyaturu katulia ndani.
Ila hawajaachiwa shombo ya muarabu ni bantu asilia wale.
 
Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu.

1.warangi
2.wapare
3.wahaya
4.wameru
5.wachagga
Ukiondosha hao namba moja na namba 4 waliobakia wote wamewekeza sana kwenye elimu na wanajitambua sana ndio maana sio rahisi kuwaburuza buruza.

Huwezi kuwa mpumbavu halafu ukadumu na mahusiano na binti wa kichagga,kipare au wa kihaya.
 
Ukiondosha hao namba moja na namba 4 waliobakia wote wamewekeza sana kwenye elimu na wanajitambua sana ndio maana sio rahisi kuwaburuza buruza.

Huwezi kuwa mpumbavu halafu ukadumu na mahusiano na binti wa kichagga,kipare au wa kihaya.
Hamna lolote kaka.
Hayo makabila yamejaza ujuaji mwingi kiasi busara na hekima ikafa kufanya maamuzi.
Wanawake wa hayo makabila much know sana hata wakikosea kisa wasomi basi hukataa kurekebishwa hii imewajengea wao kuwa na viburi.
 
Ukiondosha hao namba moja na namba 4 waliobakia wote wamewekeza sana kwenye elimu na wanajitambua sana ndio maana sio rahisi kuwaburuza buruza.

Huwezi kuwa mpumbavu halafu ukadumu na mahusiano na binti wa kichagga,kipare au wa kihaya.
Mkuu mademu wa hayo makabila ni vilaza tu na waliokosa hekima na haiba ya kike.
 
Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu.

1.warangi
2.wapare
3.wahaya
4.wameru
5.wachagga
Hata hao wabena na wengine wenye sifa za uvumilivu kwa mudani kama hamna noti wanakata kamba trust me!
 
Back
Top Bottom