Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Na mbona unapita na makabila mengi hivyo, au unafanya research?Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu.
1.warangi
2.wapare
3.wahaya
4.wameru
5.wachagga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mbona unapita na makabila mengi hivyo, au unafanya research?Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu.
1.warangi
2.wapare
3.wahaya
4.wameru
5.wachagga
Hivi kuna sehemu yenye harusi na talaka kama mikoa ya Pwani? Mikoa ya Pwani kwa mfano hiki kipindi cha Ramadhani kilipokuwa kinaanza, kulikuwa na ndoa nyingi lakini huu mwaka ukiisha nyingi ya hizo ndoa utakuta zimekufa. Hata wanawake wa Pwani wanaambiwa kabisa uwe na mabwana wengi ili uwe na sehemu nyingi za kukusaidia.Pia hayo makabila wanawake wao hawajatulia ni gawa gawa sana.
Uko sahihi. Kama ndoa za kiislam, talaka ni kama kumtuma mtoto dukani. Hata wanawake wa hiyo dini huwa wanamchukulia waume zao kama watu baki ambao wanaweza kuwaacha muda wowote. Siyo kama kwenye ukristo hakuna talaka, lakini kuna nafuu.Hakuna kabila lililotulia wote ni vocal zako TU.
Nje ya Kristo hakuna utulivu
Hicho mbele kinini jamani 🙌🙌🙌🙌Hawa hua watu wa kabila gani??
View attachment 2956464
Mmh hujui unacho andika unafuu uko wapi?Uko sahihi. Kama ndoa za kiislam, talaka ni kama kumtuma mtoto dukani. Hata wanawake wa hiyo dini huwa wanamchukulia waume zao kama watu baki ambao wanaweza kuwaacha muda wowote. Siyo kama kwenye ukristo hakuna talaka, lakini kuna nafuu.
Unafuu uko kwenye talaka. Sehemu zenye uislam zina talaka sana kulinganisha na ukristo.Mmh hujui unacho andika unafuu uko wapi?
huyo mwenye viatu vekundu ndiyo atakuwa amewashawishi wenzakeHawa hua watu wa kabila gani??
View attachment 2956464
Wachaga hahahaHawa hua watu wa kabila gani??
View attachment 2956464
Wanawake wa Kikristo wanasumbua kwenye ndoa kuliko wa kiislam sababu hawana chance ya competition hivyo ujisahau.Uko sahihi. Kama ndoa za kiislam, talaka ni kama kumtuma mtoto dukani. Hata wanawake wa hiyo dini huwa wanamchukulia waume zao kama watu baki ambao wanaweza kuwaacha muda wowote. Siyo kama kwenye ukristo hakuna talaka, lakini kuna nafuu.
🤣🤣 ukabhwene akasaja itolo ghwe?Nkete akasajha khako ,kanunu
Wanyaki nasikia mna kiukorofi hasa mkiolewa na makabila mengine lakini kwenye ndoa mnasifika sana kwa uvumilivu na uchapakazi. Kwa hiyo hii sredi haiwahusu hii!Leo wanyakyusa tumekoswakoswa...daah🥴
🤣🤣🤣 ila wanyakyusa siye ni wavumilivu sana mkuuUnashangaa wanyaki hata wazaramo na wamakonde wameachwa
hivi dada zangu wahaya huwa wanapatikana kundi gani zuri!Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu.
1.warangi
2.wapare
3.wahaya
4.wameru
5.wachagga
Hapa kuna makabila mawili tofautiHawa hua watu wa kabila gani??
View attachment 2956464
Umejuaje kama ni mhaya au mkurya?Hapa kuna makabila mawili tofauti
Wanne ni wachaga
Mmoja ni Mkurya/mhaya
Wanawake wa hayo makabila wanajua kutafuta hela ndio maana hawapendi kunyanyaswa.Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu.
1.warangi
2.wapare
3.wahaya
4.wameru
5.wachagga
Figure namba 8Umejuaje kama ni mhaya au mkurya?
Nayeye mitako yake imepitiliza ukifanya backshot lazima utoke na mgando hukoFigure namba 8
Hao wengine figure ni sphere
Mgando ndio niniNayeye mitako yake imepitiliza ukifanya backshot lazima utoke na mgando huko
Discharge zinazotokaga during sex. Inakua kama vile ulikua unakanda ngano hasa mtu akiwa hajashiriki tendo muda mrefuMgando ndio nini