Makabila yenye wanawake waliokosa uvumilivu kwenye ndoa

Makabila yenye wanawake waliokosa uvumilivu kwenye ndoa

Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu.

1.warangi
2.wapare
3.wahaya
4.wameru
5.wachagga

Hizo kasumba tu mkuu.
Pwani yoteeee nimekaa kuanzia Mafia mpaka kuja Bagamoyo mpaka Unguja na Pemba.
Hizo sehemu kuachana ni rahisi kwasababu tatizo kubwa lipo kwa wanaume,wanaume wa pwani ni mtihani sana hata mimi sikushauri binti yako ama dadayo aolewe pwani au visiwani.
Ila wanawake wa pwani wako poa tu.
Hao unaowaelezea hapa ni WAMAKONDE.
Sasa Mtwara sio Pwani kaka.
Vijana wa pwani ndio wana shida sana ndio maana hata visiwani washaanza kushtuka wanaona bora waolewe na Msukuma ama mnyanwezi ama mkurya kuliko mkisiwani mwenzao.

Ila warangi na makabila yalotajwa hapo wahuni sana tembea uone bro.
Hususan warangi kila siku unaweza kuchapiwa na usijue.
Pia wasanii wasanii sana hayo makabila wakiongozwa na mmeru.
Mmeru kiuso ni innocent ilaaa ana matukio ukiyang'amua utaachwa kinywa wazi.
Mmeru anaweza kupita na familia nzima hadi babayo mzazi.

We kaa fananisha Pwani na hayo makabila.
Mtoa Post yuko sahihi, Mimi nipo Kondoa. Wa Rangi ni Kiboko. Pia usisahau uchawi na Uchoyo
 
Ndivyo unavyojidanganya hivi??
Kutulia ni hurka ya mtu wala sio kabila,ila kuna makabila ni too much.
Nenda kaoe mrangi kesha urudi hapa utuelezee.
Wapi nje ya kristo na wamepata utulivu,wacha kugandisha fuvu.
Machame kristo yupo kwa wingi ila HAKUNA UTULIVU HATA CHEMBE.

Sahihi Wa Rangi wana Dunia yao. Wa Rangi wengi ni Ma Single Mother
 
Labda ndugu hajakaa nao hao.
Hata ukitaka kwenda kuoa mrangi wazee wanakwambia kaa tulia sema tukutafutie.
Sasa jikute mjanja vaba utaelewa huelewi.
Hizo tabia zote uchoyo na kugawa zinatoka na watu hao kupenda asili ya kwao.

Ukioa mrangi wewe mtu baki au unatoka mbali na kwao ,basi atakuwa na mtu wa karibu yake ya kwao anatoka nae hata aww ndgu yake mtoto wa shangazi.

Ogopa mwanamke anayependa kwao hao kutwa kurudi kwao kitu kidogo anaenda kwao.
 
Hizo tabia zote uchoyo na kugawa zinatoka na watu hao kupenda asili ya kwao.

Ukioa mrangi wewe mtu baki au unatoka mbali na kwao ,basi atakuwa na mtu wa karibu yake ya kwao anatoka nae hata aww ndgu yake mtoto wa shangazi.

Ogopa mwanamke anayependa kwao hao kutwa kurudi kwao kitu kidogo anaenda kwao.
Hamna kaka sio kweli.
Sababu kuu sio hiyo,niliwahi date mrangi kipindi nipo Ipuli Nzega aisee yule dem alitembea na crew yetu nzima ya watu 4 ikiwemo mimi kwa wakati tofauti halafu hapo kuna mnyamwezi,wapare wawili na mwarabu.
Hakuna mrangi hapo.
Hawatulii wakiona hata kijana mzuri smart wao ndio wanadata na kumtongoza.
 
Hamna kaka sio kweli.
Sababu kuu sio hiyo,niliwahi date mrangi kipindi nipo Ipuli Nzega aisee yule dem alitembea na crew yetu nzima ya watu 4 ikiwemo mimi kwa wakati tofauti halafu hapo kuna mnyamwezi,wapare wawili na mwarabu.
Hakuna mrangi hapo.
Hawatulii wakiona hata kijana mzuri smart wao ndio wanadata na kumtongoza.
Rafiki yangu alioa mrangi amekaa nae Dar basi akienda kwao anatoka na watu wa huko mpaka jamaa anapigiwa simu .

Kamtema akienda kwao hata kama kuna jirani anaumwa ,anataka kwenda kumuona gharama Dar mpaka Kondoa kwa basi ...Akifika huko kumbe ana yake kila mtu wa huko kwao anasema ni ndugu zake😅
 
Ukiwa na pesa hakuna mwanamke wa kabila lolote wa kukuacha hata ukimtukania mama yake.
 
Rafiki yangu alioa mrangi amekaa nae Dar basi akienda kwao anatoka na watu wa huko mpaka jamaa anapigiwa simu .

Kamtema akienda kwao hata kama kuna jirani anaumwa ,anataka kwenda kumuona gharama Dar mpaka Kondoa kwa basi ...Akifika huko kumbe ana yake kila mtu wa huko kwao anasema ni ndugu zake😅
Wale hawajali wewe wa kwao au sio wakwao.
Madame unasimama na mwanume smart basi unamlambisha lolo.
Yani wao kijana handsome ni kosa kwao hata awe msukuma.
 
Labda ndugu hajakaa nao hao.
Hata ukitaka kwenda kuoa mrangi wazee wanakwambia kaa tulia sema tukutafutie.
Sasa jikute mjanja vaba utaelewa huelewi.
Rafiki yangu alioa mrangi amekaa nae Dar basi akienda kwao anatoka na watu wa huko mpaka jamaa anapigiwa simu .

Kamtema akienda kwao hata kama kuna jirani anaumwa ,anataka kwenda kumuona gharama Dar mpaka Kondoa kwa basi ...Akifika huko kumbe ana yake kila mtu wa huko kwao anasema ni ndugu zake😅

MKuu uko sahihi, gharama ya konfoa DSM ni 40,000 kwa mabasi ya MACHAME AU ROOT AU KAMWANA. kuna jamaa smeoa mrangi ila jamaa ni mtu wa Tanga, yule demu huwa anamgogesha jamaa na kile ki stendi cha kweny Gesi. Na alishawahi kumwangia maji ya moto.

Demu wake kitu kidogo tu anampeleka USTAWI wa JAMII.

WA rangi ni wazuri w Rangi tu. Mambo mengine sio.
 
MKuu uko sahihi, gharama ya konfoa DSM ni 40,000 kwa mabasi ya MACHAME AU ROOT AU KAMWANA. kuna jamaa smeoa mrangi ila jamaa ni mtu wa Tanga, yule demu huwa anamgogesha jamaa na kile ki stendi cha kweny Gesi. Na alishawahi kumwangia maji ya moto.

Demu wake kitu kidogo tu anampeleka USTAWI wa JAMII.

WA rangi ni wazuri w Rangi tu. Mambo mengine sio.
Aisee😔😔😔😔
 
Back
Top Bottom