financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Nadhani maana hatujawahi kukosa kwenye list🤣🤣 nadhani wametuweka kimoyomoyo namba 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani maana hatujawahi kukosa kwenye list🤣🤣 nadhani wametuweka kimoyomoyo namba 6
Umeongea ukweli mtupu aisee tunashuhudia mitaani wanaume wa kikristo wanavyoteseka unakuta mwanamke ni mbabe na hana cha kutishiwa na mwanaume ana uwezo wa kuanzisha mvurugano muda wowote na mkienda mahakamani anashinda yeye kutokana na mifumo iliyowekwa na mahakama zetu wanawake wanasikilizwa zaidi wakiaminika kuwa ni wanyonge kumbe unyonge ilikuwa enzi zile za 1975 sio leo.Wanawake wa Kikristo wanasumbua kwenye ndoa kuliko wa kiislam sababu hawana chance ya competition hivyo ujisahau.
Mwanamke wa kiislam ni sawa na mpangaji adabu na tabia yake ndio uhakika wa kudumu kwake kwenye ndoa akicheza TU hana ndoa akionewa huruma ataletewa mke WA pili hivyo ukaa kwa adabu
Hata mahakamani ndoa za Kikristo ndio zinaongoza kwa talaka sababu ya kiburi cha maandiko,ukisaini nae TU cheti huyo ni mume mwenzako mnaanza nivute nikuvute anaacha wajibu wake anataka kuingilia wako.
Na yale maumbo yenu yanaogofya, unaweza kubondwa muda wowote[emoji2][emoji2][emoji2]Nadhani maana hatujawahi kukosa kwenye list
Una chuki binafsi na warangi wewe sio bure. Haiwezekani umekomaa tu warangi malaya utadhani makabila yanayojiuza mijini warangi wapo.Boss unataka Kuoa Mrangi ??? Kama unataka Karibu. Utanikuta hapa BICHA. Ila ujiandae kulia na Kupigiwa.
Tafiti za kisayansi zinazema mwanaume aliyekamilika kwa wastani wa siku huwa anasonya zaidi ya mara mia moja. Visababishi vya kusonya ni mke kumkorofisha, makonda wa daladala, fujo za bodaboda barabarani, kutoa mabaki ya chakula kwenye meno, msonyo baada ya kutafakari jambo na kushindwa kupata jibu hivyo kukubaliana na hali, kusifia kitu kizuri mfano mchezaji wa yanga anaejua kufunga na kukata cross nyingi, utamu wa mziki, kusifia tako la mwanamke anayepita barabarani, maandalizi ya kubishana akiwa na uhakika wa taarifa, wakati wa kujinyoosha baada ya usingizi wa mchana, kabla ya kutamka neno " haya bwana". Etc.Mwanaume uliekamika unasonya?
Mbinu za uvuvi.Nkete akasajha khako ,kanunu
Kwan ukiwa unatafuta hela kunyanyaswa ndio inaisha mbona kunyanyaswa kupo pale pale kama ni mwanamke mwenye huo mkosi wa kunyanyaswa? [emoji848]Wanawake wa hayo makabila wanajua kutafuta hela ndio maana hawapendi kunyanyaswa.
Maustadhi ni wakorofi, anaweza kutana na tako huko nje limevaa baibui akarudi nalo ndani halafu anakuja mwambia mke wake wa sasa kuwa ameongeza mke na hapo amekwisha kamilisha kila kitu.Kuna mawili hapa. Uhakika wa kuendelea kuwa mke vs Wasiwasi wa kuachika muda wowote. Ukweli ni kuwa mwanamke mwenye wasiwasi wa kuachika muda wowote ndiye atakuwa mbaya kwenye ndoa kuliko mwenye uhakika wa kutoachika. Yule anayeweza kuachika muda wowote kwanza hana uhakika kama hataachika hata kama atanyenyekea namna gani. Na mbaya zaidi anaweza kuletewa ''washindani'' wenye kutumia kila aina ya hila muda wowote. Pili ni lazima atakuwa anajitayarisha kuwekeza kwa sababu muda wowote anajua anaweza kuambiwa nenda zako.
Aaah hii hapana. Kaa nao tu, hela zinaingiliana vipi na kupendana?Ukiwa na pesa hakuna mwanamke wa kabila lolote wa kukuacha hata ukimtukania mama yake.
Sawa mkuu ila sio mimiTafiti za kisayansi zinazema mwanaume aliyekamilika kwa wastani wa siku huwa anasonya zaidi ya mara mia moja. Visababishi vya kusonya ni mke kumkorofisha, makonda wa daladala, fujo za bodaboda barabarani, kutoa mabaki ya chakula kwenye meno, msonyo baada ya kutafakari jambo na kushindwa kupata jibu hivyo kukubaliana na hali, kusifia kitu kizuri mfano mchezaji wa yanga anaejua kufunga na kukata cross nyingi, utamu wa mziki, kusifia tako la mwanamke anayepita barabarani, maandalizi ya kubishana akiwa na uhakika wa taarifa, wakati wa kujinyoosha baada ya usingizi wa mchana, kabla ya kutamka neno " haya bwana". Etc.
Mwanaume aliyekamilika anasonya vizuri tu.
Bro wambulu nimekaa nao sana kugawa utamu na kupiga gambe ni sehem ya utamaduni wao, japo kweli inawezekana umebahstisha alietulia lakin kiuhalisia hawajatuliaKariri hivyo hivyo kijana.
Nina experience kuliko udhaniavyo,jiulize kwanini nimekubali kumuoa huyo mmbulu??
Malezi mtu anapoishi huchangia sana ukuaji wake wa kitabia.
Pia wanyaturu wana tabaka kama ilivyo kwa wasambaa wa lushoto na korogwe.
Binti kakulia TANGA MWAKIZARO MAJENGO toka akiwa na miaka 4 mpaka anafikisha miaka 19 na mimi namuoa.
Nimemuoa kabinti kadocho sana ambacho kamekulia makuzi ya Tanga.
External environment huwa inayakisi sana malezi ya mtoto,kama una watoto bro nadhani hilo utakua unaelewa kama mzazi.
😀 😀 sawa tutukane tu mkuuNa yale maumbo yenu yanaogofya, unaweza kubondwa muda wowote[emoji2][emoji2][emoji2]
Kwani na wewe una hilo umbo? naamini sio wote wenye maumbo yale.[emoji3] [emoji3] sawa tutukane tu mkuu
Hivi mkuu ni ipi tofauti kati ya Wasambaa wa Lushoto na Korogwe!Kariri hivyo hivyo kijana.
Nina experience kuliko udhaniavyo,jiulize kwanini nimekubali kumuoa huyo mmbulu??
Malezi mtu anapoishi huchangia sana ukuaji wake wa kitabia.
Pia wanyaturu wana tabaka kama ilivyo kwa wasambaa wa lushoto na korogwe.
Binti kakulia TANGA MWAKIZARO MAJENGO toka akiwa na miaka 4 mpaka anafikisha miaka 19 na mimi namuoa.
Nimemuoa kabinti kadocho sana ambacho kamekulia makuzi ya Tanga.
External environment huwa inayakisi sana malezi ya mtoto,kama una watoto bro nadhani hilo utakua unaelewa kama mzazi.
Nitakiwa na mechi nzito na mdogo wako siku chache zijazo nitakuwepo mfekene lodge karibu tupate supuLeo wanyakyusa tumekoswakoswa...daah[emoji3061]
Tema mate chini warangi wanajuwa biahara gani mfnoWanawake wa hayo makabila wanajua kutafuta hela ndio maana hawapendi kunyanyaswa.
Hao na wairaqwi beki hazikabiWarangi watoe hapo hao watu ndio wife material pekee waliobaki nchi kina Rukaiya na Sumaiya
Ndiyo mkuu, mimi ni mnyakyusa og kabisa😆Kwani na wewe una hilo umbo? naamini sio wote wenye maumbo yale.
Pia JF zote ni pisi kali...
Mkuu sijakubishia.Bro wambulu nimekaa nao sana kugawa utamu na kupiga gambe ni sehem ya utamaduni wao, japo kweli inawezekana umebahstisha alietulia lakin kiuhalisia hawajatulia