Makaburi ya Viongozi: Jeneza hugusana na udongo au ndani huwa kunakuwa na uwazi uliofunikwa na zege kwa juu?

Yaa mle ndani kunabaki na uwazi wake maana kaburi linakua limejengewa kuanzia chini kama choo ni mfunikobwa juu wa zege ndio unamiminiwa pale juu basi
 
Basi sawa
 
Swala gan hili? Mbona raia wa kawaida tu wanazika hivi now day?
 
Udongo mdogo sana ule wanaomwaga waombolezaji angalia la JPM na lowasa na mkapa naona ni zege tupu juu. Ndani pamesakafiwa saaafiii na vigae pembeni vimebandikwa poaaaa,chini vimawe mawe vya madoido au vigae
Mnashangaza mbona watu mtaani wanatumua njia hio pia? wakristo lakini,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…