Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu walivyo waroho wakiona unachomwa wataomba wakatiwe pande lako la paja watafune na wanzuki.Tuchomwe moto waweke majivu
Habari wadau.
Binafsi ni mkristo. Ila nimependa sana utaratibu uliowekwa kwenye makaburi ya waislamu Tabata segerea.
Kanuni yao namba moja ambayo inakataza kujengea kaburi ni nzuri sana.
View attachment 3190866
Nini maana ya "Kaburi ni nyumba ya milele" iwapo kaburi halijajengewa?
Kwa mtazamo wako, unadhani kaburi linatakiwa lidumu miaka mingapi au vizazi vingapi kuweka hiyo kumbukumbu? Na kumbukumbu ni ule mwili au zege lililo wekwa juu lenye utambulisho?Lengo la kujengea kaburi ni kuacha ukumbusho. Sasa usipojengea kaburi la mpendwa wako, baada ya miaka mingi mbele na kumbukumbu yake si itapotea!!
Au ndiyo kisrma ukishakuwa marehemu ndiyo basi tena!
Kaburi sio nyumba ya mileleNini maana ya "Kaburi ni nyumba ya milele" iwapo kaburi halijajengewa?
Swali zuri sana!Labda sijaelewa madhara yatokanayo na kujengea makaburi, naomba kujifunza kutokana na hili