zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Kwa hio iwe km Sinza Makaburini au Kinondoni Makaburini?Ni utaratibu wa kuigwa. Mkijengea, mwili umekuwa mifupa chini, huku juu bado hamuwezi kuzika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio iwe km Sinza Makaburini au Kinondoni Makaburini?Ni utaratibu wa kuigwa. Mkijengea, mwili umekuwa mifupa chini, huku juu bado hamuwezi kuzika
Nashukuru mkuu umenipeleka nilikotaka kuuliza zaidi, nami nimeshuhudia hilo kwa macho yangu mitaa fulani hapa Dar, nikaandika uzi humu ila haukupata wachangiajinimeshuhudia watu wakichimba kaburi juu ya lingine kwa maksudi kwasababu tu lile la awali halina alama, hili ninkosa na ukosefu wa utu.
Huu ni utaratibu mzuri sana.Tuchomwe moto waweke majivu
Ni usumbufu tu na gharama zisizokuwa na tija.Nini maana ya "Kaburi ni nyumba ya milele" iwapo kaburi halijajengewa?