Makachero wa Mashujaa FC wabaini mauzauza uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza

carnage21

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2023
Posts
591
Reaction score
1,382
Hapo jana jioni makachero wa Mashujaa FC wamebaini mauzauza waliyofanya timu ya Pamba FC kwenye uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza kwa kuchimba sehemu za uwanja na kufukia Ndumba.

Maeneo ambayo wamechimba ni kwenye sehemu za kupigia penat kwa magoli yote mawili na upande mmoja ndani ya 18 na kwenye nusu duara la box la 18. Kitendo hiki cha kuchimbua sehemu ya uwanja na kuacha mashimo kinaweza kuleta athari kwa wachezaji kwa kuwaletea majeruhi.

Je, kwenye mchezo wa soka unaamini katika ndumba!!?(uchawi).
 
Mlichowafanyia Kigoma subirini na nyinyi zamu yenu ya kunyolewa.

By the way leo tuna jambo la Kitaifa kwa Mkapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…