Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Umesahau uchaguzi wa Serekali za mitaa !...lakini Waingereza walikuwa na utu kuzidi Ccm.
..kwa mfano, ktk uchaguzi mkuu wa mwaka 1958 hakuna mgombea wa Tanu aliyeenguliwa kwa sababu zozote zile.
..uchaguzi wa mwaka 2020 uliosimamiwa na Ccm wagombea udiwani 700 wa Cdm walienguliwa.
..sijui kama kina wazee waliounda Tanu na kudai uhuru lengo lao lilikuwa tujitawale na chama chao kigeuke kuwa cha kidhalimu kama Ccm.
Niliwahi kujiuliza hivi nani alimshauri Mwendazake ule upuuzi.