Makachero wa Special Branch ndani ya harakati za uhuru wa Tanganyika

Umesahau uchaguzi wa Serekali za mitaa !.

Niliwahi kujiuliza hivi nani alimshauri Mwendazake ule upuuzi.
 
Umesahau uchaguzi wa Serekali za mitaa !.

Niliwahi kujiuliza hivi nani alimshauri Mwendazake ule upuuzi.

..kwa mfano wanachama wangapi wa Tanu walitupwa mahabusu, au kuhukumiwa vifungo.

..Halafu linganisha na kilichotokea kwa Chadema ktk Tanganyika / Tanzania huru ktk awamu ya 5.

..Kuna kiongozi yeyote wa Tanu alipigwa na kuwa kilema kama ilivyomtokea Tundu Lissu ktk Tanganyika / Tanzania huru?

..Kuna viongozi wa kinamama wa Tanu aliyepigwa, kufungwa, na kudhalilishwa kama Esther Bulaya, Esther Matiko,na Halima Mdee?

..Kati ya Twinning na Jpm nani alimzidi mwenzake kwa dhuluma na ukatili?

Cc Pascal Mayalla , Nguruvi3, Mohamed Said
 
shikamoo Babu!! hivi!! kwa nini una hasira sana??? kwa mfano Unaleta hoja kwa nguvu!! nguvu! tuu!!,,,na vitisho! pili kule JohanesBurg ulikwendaje wkt Tanzania hatukuruhusiwa kwenda huko miaka hiyo??

ulitumia passport ya wapi?? kufika kwa makaburu! je waweza ionyesha hapa km photo copy?.....na kama ulitumia pass bandia ilipe serikali kwa sababu ulidanganya!....
 
Atakasirika zaidi.mi ni mkristo nasikia raha kusoma makala zako kama mtanzania.Naelimika sana Mzee Said endelea kutujuza historia yetu.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Shida ni moja tu mzee wangu Mohamed, kuna watu wameisha karirishwa historia na wameamini sana kwenye hiyo historia na hawataki kuujua ukweli au kusikia historia mbadala na ile walioaminishwa, suala hapa sio uislam na waislam katika harakati za uhuru, ni kuwa hii historia mpya unayohadithia inatishia ushujaa aliojengewa Hayati Nyerere!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…