Makadirio mbao kupaua nyumba vyumba 5 na sebule?

Makadirio mbao kupaua nyumba vyumba 5 na sebule?

Ukishapata idadi tuwasiliane nikupe mbao kwa bei nafuu saana. Nipo Buguruni utakuja na tape na calculator yako.
 
Kama lengo lako ni kuogopa kupigwa fanya hivi.

1, tafuta mafundi wasiojuana kama watatu hv. then kila mmoja akupe estimation zake za materials and labor.
2.Mbao kanunue Sao hills wako Ubungo. mbao zao ni za ukweli n hawaibi vipimo
 
mbao za mita nne 2kwa4 = 75, 2kwa2 = 75 na 1kwa8 = 11. Bati za mita tatu = 73 jumla na kofia. misumari (a) ya bati = 15kg (b) 5" =6 kg, 4" = 15kg, 3" = 4 kg, 2.5" = 2 kg na 1,5" = 1 kg. (c) Kenchi waya = 6 kg.

Kwa mawasiliano zaidi email yangu ni komboemmanuel42@gmail.com
Nakubaliana na makadirio yako,kuna fundi amekadiria ya kwangu bati za mita tatu 70 misumari ya bati kg 20 na kofia 18 na valley 8 misumari kama ilivyo kwenye makario yako
 
Back
Top Bottom