Uliza wewe mkuuuHapo anakua anajenga fly-over au?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] atakua anajenga kijazi interchange huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliza wewe mkuuuHapo anakua anajenga fly-over au?
Kwamba ghorofa 1 itumie 32T za Nondo?Zungusha fensi la mabati
Ndani jenga banda kubwa la mabati kama store yako
Ajiri masai mlinzi
Vitu vya msingi vya kuanzia
Semi trela la sementi
Semi trela la nondo
hakikisha umemwaga kokoto tipa 30
Mchanga tipa 28
Tofali elfu 13
Nguzo za mirunda semi trela 1
Yale mabodi magumu 100
Milioni 50 kwa ajili ya matumizi ya kazi
Mzee shayoHakuona yaliyomkuta mwenzake kule Goba
Kama huna utaalamu baki kuwa msomaji kama sisiZungusha fensi la mabati
Ndani jenga banda kubwa la mabati kama store yako
Ajiri masai mlinzi
Vitu vya msingi vya kuanzia
Semi trela la sementi
Semi trela la nondo
hakikisha umemwaga kokoto tipa 30
Mchanga tipa 28
Tofali elfu 13
Nguzo za mirunda semi trela 1
Yale mabodi magumu 100
Milioni 50 kwa ajili ya matumizi ya kazi
Mkuu, ghorofa halijengwi kwa nondo ya 12mm pekee. Zipo sehemu zitahitaji 8mm, 10mm, 12mm na kuendelea kutegemea na structural design ya jengo lako. Nikushauri jambo:Hbr wana JF,
Naomba kuuliza, natarajia kuanzisha ujenzi wa nyumba ya gorofa 1 yenye ukubwa wa 14mt x 15mt. Vyumba vinne juu chumba kimoja chenye ft 17.5x17ft
JE, tone 5 za nondo milimit 12, zinaweza kutosha mpk slab ya kubeba gorofa 1 iwapo tone 1 ya nondo nmeambiwa zinakaa 89.
Ardhi ipo sehemu tambarale, na hakuna majimaji. Ahsanteni, mawazo yenu muhimu waungwana.
Kokoto tipa 30 unajenga shule!Zungusha fensi la mabati
Ndani jenga banda kubwa la mabati kama store yako
Ajiri masai mlinzi
Vitu vya msingi vya kuanzia
Semi trela la sementi
Semi trela la nondo
hakikisha umemwaga kokoto tipa 30
Mchanga tipa 28
Tofali elfu 13
Nguzo za mirunda semi trela 1
Yale mabodi magumu 100
Milioni 50 kwa ajili ya matumizi ya kazi